Nagelsmann akalia kuti kavu Ujeruman, Klopp akipigiwa chapuo KOCHA wa Ujerumani, Julian Nagelsmann ameanza kukabiliwa na presha ya kibarua chake kuota nyasi baada ya timu yake kutolewa na Paraguay kwa mikwaju ya penalti katika hatua ya 32 bora ya Kombe la...
Uruguay kimeumana huko WACHEZAJI wa timu ya taifa ya Uruguay wamepata pigo jingine baada Shirikisho la Soka la Uruguay (AUF) kuchukua uamuzi kuvunja kambi na kila mtu kutakiwa kujigharamia mwenyewe safari ya...
Dili iliyokufa - 28 ILIPOISHIA Wakwetu alipanda ghorofani kilikokuwa chumba cha Masumbuko. Akabisha mlango. Masumbuko akafungua mlango. “Tumeshafika” James alimwambia Masumbuko. “Mzee yuko wapi?” “Yuko...
KMKM bingwa tena FA Zanzibar MABAHARI wa KMKM, wamefanikiwa kutetea ubingwa wa Kombe la FA Zanzibar baada ya kuitandika Chipukizi mabao 2-1 katika fainali iliyochezwa Juni 27, 2026 kwenye Uwanja Gombani uliopo kisiwani Pemba.
Mfungaji Bora ZPL azigonganisha tatu Bara MSHAMBULIAJI wa KVZ, Michael Joseph aliyeibuka kinara wa ufungaji katika Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) msimu wa 2025-2026, amezivutia timu tatu za Ligi Kuu Bara ambazo ni Namungo, Coastal Union na...
Raskazone yasuka mikakati ya Ligi Kuu Zanzibar BAADA ya kufanikiwa kupanda daraja kushiriki Ligi Kuu Zanzibar msimu ujao, Raskazone imeendelea kufanya tathmini ya kikosi chake ili kuboresha maeneo yenye changamoto kuhakikisha timu inakuwa ya...
Mkenya presha yaanza Mtibwa Sugar KICHAPO cha mabao 2-1 ilichokipata Mtibwa Sugar dhidi ya Tanzania Prisons, kimemfanya kocha mkuu wa kikosi hicho, Mkenya, Yusuf Chippo kusema anahitaji miujiza zaidi ya kuinusuru timu hiyo katika...
Morocco yaing'oa Uholanzi kwa matuta TIMU ya taifa ya Morocco imekuwa timu ya kwanza Afrika kutinga hatua ya 16 bora ya fainali za Kombe la Dunia 2026 kufuatia kuing'oa Uholanzi kwa penalti 3-2 baada ya sare ya bao 1-1 ndani ya...