Kiungo Yanga aibukia Singida TAARIFA kutoka Singida Black Stars, zinabainisha kwamba, kiungo wa kati wa Yanga, Shekhani Khamis, tayari ameshaanza mazoezi na kikosi hicho alichojiunga nacho kwa mkopo wa msimu mmoja wa...
Dili iliyokufa - 43 ILIPOISHIA Hapo ndipo nilipokumbuka. Wakati ule nilipokuwa nakwenda kwake kufuatia dawa ya mume wangu akanichukua hadi mahali hapo ambapo alikwenda kuniingiliakimwili akajidaiananifanyia...
Mbappe wa Zanzibar asaini Singida Black Stars MLANDEGE inayoshiriki Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), imetangaza kuachana na mshambuliaji wake, Mussa Hassan ‘Mbappe’ huku ikimtakia kheri katika safari yake mpya.
Vijana waitwa kushiriki Kabaddi Zanzibar MJUMBE wa Shirikisho la Mchezo wa Kabaddi Zanzibar, Abbas Khamis Suleiman, amewataka vijana kisiwani hapa kushiriki mchezo huo kwa lengo la kuzifikia fursa zilizopo.
Timu ya Chipukizi yambeba Gamera BAADA ya timu Wembe kutia nia ya kumtaka aliyekuwa Kocha Mkuu wa Fufuni, Suleiman Mohamed ‘Mani Gamera’, sasa upepo umegeuka na kocha huyo msimu ujao atainoa Chipukizi iliyopo kisiwani Pemba.
Namba zimemhukumu Julio Mashujaa TETESI ambazo kijiwe hiki kimezipata ni kwamba Mashujaa FC imeamua kutoendelea na Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ambaye ni kocha wake mkuu na sasa inasaka kocha mpya.
Mkenya, Mkongo wapishana Pamba MABOSI wa Singida Black Stars wamefikia makubaliano ya kumsajili mshambuliaji wa Pamba Jiji, Mkenya Mathew Tegisi Momanyi, baada ya kuridhishwa na kiwango chake alichokionyesha Ligi Kuu Bara kwa...
Pete maalum kwa mabingwa Kombe La Dunia SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA), limethibitisha kuwa washindi wa Kombe la Dunia 2026 watatunukiwa pete maalumu za ubingwa (Championship Rings) kwa mara ya kwanza katika historia ya...