Simba yarusha taulo kwa Tshabalala! UONGOZI wa klabu ya Simba ni kama umekubali ya ishe juu ya aliyekuwa nahodha wa timu hiyo, Mohammed Hussein 'Tshabalala' baada ya kukiri kushindwa kumuongezea mkataba mpya.
PICHA: Viongozi mbalimbali wa Serekali, TFF, TPLB, Yanga na Simba walivyowasili kwenye mkutano sakata la Dabi