WINGA wa Azam FC, Ayubu Lyanga ameendeleza ubabe mbele ya kipa wa Mtibwa Sugar, Jeremiah Kisubi akicheka na nyavu dakika ya 20 na 54.
LICHA ya Azam FC kuongoza kwa bao 1-0 dhidi ya wenyeji wao Mtibwa Sugar, dakika 45 za kipindi cha kwenye uwanja wa Manungu Complex.
LICHA ya Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza kufanyiwa maboresho katika maeneo mbalimbali likiwemo la kuchezea 'Pitch', Kocha wa Simba, Pablo...
LICHA ya Yanga kubakiza pointi sita kutangaza ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC msimu huu, Kocha wa Simba, Pablo Martin amesema ni mapema sana kukata...
Wakati viungo Salum Abubakar ‘Sure Boy’ na Himid Mao wakirudishwa katika kikosi cha timu ya taifa ‘Taifa Stars’, benchi la ufundi la timu hiyo...