STRAIKA wa zamani wa Yanga, Amissi Tambwe ameendelea kuikalia kooni klabu hiyo akisema bado haijamalizana naye lakini uongozi huo ukamjibu na kumtuliza.
UTAMU wa Ligi Kuu Bara unarejea upya leo baada ya kusimama kwa muda kupisha mechi za Kombe la Shirikisho (ASFC), wakati Wekundu wa Msimbazi...
Timu za Ukonga Warrious, Jogoo na Mchenga zilipanda kucheza RBA msimu huu ambapo zitachuana na timu zenye ushindani ikiwamo bingwa mtetezi...
Sulle ndiye mwanariadha mwenye kasi zaidi nchini katika mbio za marathoni (kilomita 42).
TIMU ya Yanga imetangaza kuanza rasmi ukarabati wa jengo lao lililopo Mtaa wa Jangwani, Dar es Salaam ambapo ndio makao makuu ya klabu hiyo.