Wapinzani wa Simba CAFCL, wamsimamisha kazi kocha mkuu
Siku chache kabla ya kuanza kwa kampeni za michuano ya kimataifa, miamba ya soka nchini Malawi, klabu ya Mighty Wanderers FC, imetangaza kumsimamisha kazi kocha mkuu wa timu hiyo, Bob Mpinganjira.