Shirko, kutoka muziki hadi ndani ya Serikali ya Rais Ruto MOMBASA. Unapoizungumzia Yamoto band hukosi kumtaja kijana mtayarishaji wa mziki ‘producer’ Awadh Salim Awadh maarufu Shirko. Huyu ni mzaliwa Mombasa nchini Kenya ambaye alibahatika pia kuishi...