Wachezaji wawili wafariki baada ya kupigwa na radi uwanjani nchini Kenya
Wachezaji wawili nchini Kenya wamefariki dunia kwa kupigwa na radi walipokuwa uwanjani katika mechi ya kirafiki katika Kaunti ya Kisii.
Sammy Musa, 20, na Joshua Nyangaresi, 21, walipoteza...