Mbeumo, Manchester United mambo yazidi kuwa magumu MPANGO wa Manchester United kumsajili mshambuliaji wa Brentford na timu ya taifa ya Cameroon, Bryan Mbeumo, 25, umesimama kwa muda baada ya timu yake kuongeza bei hadi kufikia Pauni 70 milioni...
PICHA: Viongozi mbalimbali wa Serekali, TFF, TPLB, Yanga na Simba walivyowasili kwenye mkutano sakata la Dabi