Utata wa sura ya mtoto wa Jux SIKU tatu tangu mwanamuziki wa Bongo Flava, Juma Jux na mkewe Priscilla Ojo, maarufu kama Priscy, kuweka wazi kwa mara ya kwanza sura ya mtoto wao, Prince Rakeem Mkambala, mjadala mpya umeibuka...
Dakika 90 za presha Ligi Kuu KWA mara ya kwanza leo tunakwenda kushuhudia timu zilizomaliza nafasi tatu bora juu ya msimamo wa Ligi Kuu Bara msimu uliopita, zikiwa uwanjani siku moja zikisaka pointi za kujiweka pazuri.