Zion ajibu tuhuma za kuwakimbia watoto wake Msanii wa R&B na Hip-hop kutoka Uingereza, Zion Foster ametoa ufafanuzi kuhusu malezi ya watoto wake wawili ambao awali ilidaiwa amekimbia kwenye malezi yao.
Ishu ya Josiah, Mashujaa iko hivi! UONGOZI wa maafande wa Mashujaa FC umefungua mazungumzo ya kuipata saini ya Kocha Mkuu wa Dodoma Jiji, Amani Josiah kwa ajili ya msimu wa 2026-2027, kuchukua nafasi ya Kocha, Jamhuri Kihwelo...