Mbappe wa Zanzibar asaini Singida Black Stars MLANDEGE inayoshiriki Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), imetangaza kuachana na mshambuliaji wake, Mussa Hassan ‘Mbappe’ huku ikimtakia kheri katika safari yake mpya.
Vijana waitwa kushiriki Kabaddi Zanzibar MJUMBE wa Shirikisho la Mchezo wa Kabaddi Zanzibar, Abbas Khamis Suleiman, amewataka vijana kisiwani hapa kushiriki mchezo huo kwa lengo la kuzifikia fursa zilizopo.
Timu ya Chipukizi yambeba Gamera BAADA ya timu Wembe kutia nia ya kumtaka aliyekuwa Kocha Mkuu wa Fufuni, Suleiman Mohamed ‘Mani Gamera’, sasa upepo umegeuka na kocha huyo msimu ujao atainoa Chipukizi iliyopo kisiwani Pemba.