ZFF yafungua ukurasa wa soka la kidijitali SHIRIKISHO la Soka Zanzibar (ZFF) limefungua ukurasa mpya katika uendeshaji wa soka baada ya kuingia mkataba wa ushirikiano na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), unaolenga kuharakisha...
Waamuzi 53 kazini Ligi Kuu Zanzibar WAAMUZI 53 wamepewa jukumu la kusimamia mechi za Ligi Kuu Zanzibar msimu wa 2026/27, huku Kamati ya Waamuzi ikilenga kuhakikisha ushindani huo unaendeshwa kwa kuzingatia sheria na kanuni za soka.
KVZ yacheza dakika 450 bila ushindi MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Zanzibar, KVZ wameianza safari ya kutetea ubingwa wake na maandalizi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa namna ya kushangaza baada ya kucheza mechi tano sawa na dakika...