Matola atumiwa nauli aingia mitini -1 MOJA ya makocha chipukizi wazawa ambao wanaaminika kuwa ni bora kwenye soka la Tanzania kwa sasa basi ni kocha msaidizi wa Simba Suleiman Matola ambaye amefanya mambo makubwa kadhaa kwenye soka...
Gael, Yanga ngoma mbichi KIUNGO Mrundi Gael Bigirmana ameikalia kooni Yanga akitaka impe barua ya kuondoka na kumlipa mamilioni ya pesa baada ya kile alichodai kukiukwa kwa vipengele vya mkataba. Sakata la mchezaji huyo...
Mastaa Simba kumwagiwa noti KIKOSI cha Simba kilikuwa na mchezo mgumu wa mzunguko wa pili kwenye Ligi Kuu Bara jana kucheza dhidi ya Singida Big Stars na mchezo ulimalizika kwa ushindi wa mabao 3-1 huku simba ikifikisha...
Simba, Al Hilal hakuna mbabe MABINGWA wa Sudan Klabu ya Al Hilal wamelazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Simba katika mchezo mkali wa kirafiki wa Kimataifa uliochezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Al...
Taswa yapata uongozi mpya, Mwandishi Mwananchi ashinda kwa kishindo Amir Mhando amechaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) uchaguzi mkuu uliofanyika leo Februari 5, kwenye uwanja wa Mkapa Dar es Salaam. Amir...
Ngome yajipima kujiandaa mashindano ya Majeshi Mtwara. Timu ya soka ya Ngome imeimfunga mwenyeji wake Ndanda bao 2-0 katika mechi ya kirafiki iliyofanyika leo Februari 5, 2023 kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona mkoani hapa. Bao la kwanza...
Monica, humwambii kitu kwa Diarra Ndiye kipa pekee ambaye hajaruhusu nyavu zake kutikiswa katika mechi tano ambazo ameidakia timu ya Fountain Gate Princess hadi sasa kwenye Ligi Kuu Bara ya Wanawake. Anaitwa Monica Chebet, raia...
Kocha Gor atoboa siri ya mafanikio JOHNATHAN McKinstry amedai sababu ya matokeo mazuri ya kikosi chake hadi sasa imechangia pakubwa na ki-smart. Kwa muda mrefu, miamba hawa wa soka nchini walitawala Ligi Kuu Kenya hadi misimu...
Auba kutazama UEFA kwenye televisheni LONDON, ENGLAND. PIERRE Emerick-Aubameyang amepigwa chini kikosi cha Chelsea cha Ligi ya Mabingwa Ulaya na kwa hasira ameamua kwenda zake Milan wakati timu ikiwa na mechi ya Ligi Kuu England...