PRIME Kikosi cha Feisal, Yanga 5 Simba 2 LIGI Kuu Bara imesaliwa na jumla ya mechi 17 kabla ya msimu kufikia tamati, lakini kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amevunja ukimya kwa kutangaza kikosi chake cha msimu...
Mzigo wa Kariakoo Dabi umerudi MZIGO umerudi. Ndivyo unavyoweza kusema kwa ishu ya Dabi baada ya sasa kutangazwa itapigwa Juni 25 na si keshokutwa Jumapili kama ilivyokuwa awali.
Uhondo wa Kombe la Dunia la Klabu upo hivi FAINALI za Fifa za Kombe la Dunia la Klabu 2025 ni michuano ya 21, lakini safari hii itafanyika kwa mtindo tofauti kama ilivyokuwa kwenye mikikimikiki ya Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu...
PRIME Rafiki yetu Antony, mtego wa Kibrazili unaotembea? ANTONY? Ndio. Amekaa kimitego sana. Namzungumzia huyu rafiki yetu wa Manchester United aliyepelekwa kwa mkopo kwenda Real Betis ya Hispania. Namtafakari tena na tena na tena.
Mbeumo achaguliwa timu Man United, Spurs STAA Bryan Mbeumo ametakiwa achague kwenda Tottenham Hotspur badala ya Manchester United baada ya vita ya miamba hiyo kuwania saini yake kuzidi kupamba moto.
Burundi yaanza na ushindi CECAFA, yaichapa Uganda TIMU ya taifa ya Burundi imeanza vyema kampeni za kutafuta ubingwa wa mashindano ya CECAFA Senior Women Championship 2025 kwa kuichapa Uganda bao 1-0.
HADITHI HADITHI: Kwa Mtutu wa Bunduki - 5 Alipoingia katikati ya kundi hilo akaliona gari la Idara ya upelelezi alilokuwa akiendesha Temba, tairi zake za mbele zimeingia katika mfereji. Msembeko alichungulia ndani ya gari hilo na...
ZFF yaanza uchunguzi vurugu Uhamiaji vs KVZ SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF), kupitia Kamati yake ya Mashindano, limetangaza kufuatilia kwa kina tukio linalodaiwa Kikosi maalum cha Ulinzi cha Valantia Zanzibar kuvamia uwanja...
Timu ya Mlandege yatwaa ubingwa Ligi Kuu Zanzibar Timu ya Mlandege imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu Zanzibar ZPL kwa msimu wa 2024-25 baada ya kuitandika New City mabao 4-2.
Bingwa mpya ZPL ni KVZ au Mlandege BINGWA mpya wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) anatarajiwa kujulikana leo wakati Mlandege na KVZ zitakaposhuka viwanja viwili tofauti kusaka pointi za kufungia msimu wa ligi hiyo.
PRIME Rafiki yetu Antony, mtego wa Kibrazili unaotembea? ANTONY? Ndio. Amekaa kimitego sana. Namzungumzia huyu rafiki yetu wa Manchester United aliyepelekwa kwa mkopo kwenda Real Betis ya Hispania. Namtafakari tena na tena na tena.
Nyota Yanga Princess awasha moto Misri ALIYEKUWA mshambuliaji wa Yanga Princess, Mkenya Janet Bundi anayekipiga NBE FC ya Misri amezidi kung'ara akiwa kwenye tatu bora za wafungaji bora nchini humo.
Liverpool yaingia vitani kuisaka saini ya Osimhen LIVERPOOL wamejitosa katika vita ya kuiwania saini ya mshambuliaji wa Napoli na timu ya taifa ya Nigeria Victor Osimhen, mwenye umri wa miaka 26, ambaye msimu uliopita alikuwa kwa mkopo Galatasaray.
PICHA: Viongozi mbalimbali wa Serekali, TFF, TPLB, Yanga na Simba walivyowasili kwenye mkutano sakata la Dabi