PRIME Wasauzi wafika bei kwa Mukwala Timu ya Polisi Tanzania imeonyesha dhamira ya dhati ya kufanya vizuri msimu ujao wa Ligi Daraja la Kwanza (Championship), baada ya kumsaini rasmi kocha mwenye uzoefu Mbwana Makatta kwa mkataba wa...
PRIME Ikanga Speed aigomea Yanga KIUNGO Mshambuliaji, Jonathan Ikangalombo 'Ikanga Speed' aliyeingia Yanga kupitia dirisha, imetoa masharti mazito kwa mabosi wa klabu hiyo waliotaka kumtoa kwa mkopo . Yanga ni kama bado...
WAFCON 2024: Twiga Stars hata droo tu BAADA ya kuanza vibaya fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON), timu ya taifa ya soka ya wanawake, Twiga Stars usiku wa leo inarudi tena uwanjani kutesti zali kwa kukabiliana...
PRIME Yanga yatia mkono dili la kiungo Simba LICHA ya Yanga kufanikisha kumuongeza mkataba mpya kiungo Khalid Aucho ili aendelea kuitumikia timu hiyo, inadaiwa mabosi wa Jangwani wameamua kutia mkono katika dili la kiungo mmoja fundi wa...
Kinachokwamisha dili la Gyokeres Arsenal ni hiki SIKU chache baada ya wawakilishi wa Arsenal kuondoka, Ureno bila ya kufikia makubaliano na mabosi wa Sporting Lisbon juu ya mauziano ya Viktor Gyokeres, tovuti ya Independent imefichua ukweli juu...
Opah Clement arejea kuibeba Twiga Stars Baada ya kocha wa Twiga Stars Bakari Shime kusema kuwa walipoteza mchezo uliopita wa Kombe la Mataifa Afrika kwa Wanawake (WAFCON) kutokana na kuwakosa baadhi ya mastaa wake, leo mshambuliaji...
HADITHI HADITHI: Kwa Mtutu wa Bunduki - 5 Alipoingia katikati ya kundi hilo akaliona gari la Idara ya upelelezi alilokuwa akiendesha Temba, tairi zake za mbele zimeingia katika mfereji. Msembeko alichungulia ndani ya gari hilo na...
Kijo kocha mpya Zanzibar Sand Heroes SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF), limemteua Kijo Nadir Nyoni kuwa kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Zanzibar ya Soka la Ufukweni. Taarifa iliyotolewa leo Ijumaa Juni 27, 2025 na Ofisa...
Sauti Sisters yazidi kulizamisha jahazi la Warriors Queens KIPIGO cha mabao 2-1 ilichopokea Warriors Queens kutoka kwa Sauti Sisters, kimeifanya timu hiyo kuwa na hali mbaya zaidi kwenye msimamo wa Ligi Kuu Soka Wanawake Zanzibar. Mchezo huo uliopigwa...
JKU Princess yaendelea kugawa dozi Zanzibar TIMU ya JKU Princess, imeendeleza ubabe katika Ligi Kuu Soka Wanawake Zanzibar (WPL) baada ya kuichapa Dunga Queens mabao 9-0.
PRIME Azam ni kweli wako siriazi na Ibenge? SOKA letu limepiga hatua. Kuna mambo mengi yanayobadilika kwa kasi ambayo yanaashiria moja kwa moja tumeanza kuingia kwenye anga nyingine. Ni mambo hayo ambayo yanatutofautisha kabisa na...
Staa wa Yanga kuwania uenyekiti AFC Leopards SC Bonface Ambani, gwiji wa soka nchini Kenya na mchezaji wa zamani wa AFC Leopards, amezindua rasmi ilani yake ya kampeni iitwayo “IPOSIKU” leo Juni 26, 2025, katika ukumbi wa KCB Simba jijini...
Man United wao ni Mbeumo tu :MANCHESTER United bado ipo kwenye meza ya mazungumzo na Brentford kwa ajili ya ofa ya kumsajili mshambuliaji Bryan Mbeumo.
PICHA: Viongozi mbalimbali wa Serekali, TFF, TPLB, Yanga na Simba walivyowasili kwenye mkutano sakata la Dabi