AFCON 2027: Viwanja vya mazoezi vyatoa sura mpya Wakati macho ya wengi yakielekezwa kwenye ujenzi na ukarabati wa viwanja vitakavyotumika kwenye Fainali za Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) 2027, Tanzania imeanza kukamilisha picha nyingine...
Ngorongoro Heroes iko tayari kwa AFCON TIMU ya Taifa ya Tanzania ya vijana chini ya miaka 20, Ngorongoro Heroes, imedhamiria kufanya vizuri katika mashindano ya kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika kwa vijana, AFCON U-20 Kanda ya...
CFFA; Kutoka kulea vipaji hadi kusaka historia kwa Yanga CAF YANGA imefuzu hatua ya pili ya mchujo katika Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya juzi Jumamosi kuiondosha Gaborone United kwa jumla ya mabao 3-2.
Jentrix Shikangwa aanza kukiwasha Misri MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Kenya, Jentrix Shikangwa anayekipiga FC Masar, ameanza vizuri maisha yake mapya kwenye Ligi Kuu ya Wanawake ya Misri baada ya kufunga mabao matano katika mchezo mmoja...
Bunda Queens kambini wiki nane KOCHA wa Bunda Queens, Alley Ibrahim, amesema timu hiyo imejipanga kutumia wiki nane kujiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania kwa lengo la kurekebisha makosa ya msimu uliopita.
Mauaji ya kutisha – Sehemu ya 8 UTANGULIZI Aliendelea kujiambia kuwa atawaeleza polisi kuwa baada ya kuznguka nyumba na kutowaona watu hao alikuja kumkuta bosi wake ameshachinjwa na pia aliwaona watu watatu waliokuwa...
KVZ yatupwa nje CAF ikichapwa 3-0 nyumbani ASSWEHLY SC imefanikiwa kutinga hatua ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada kuondoka na ushindi wa mabao 3-0 katika ardhi ya Zanzibar katika mchezo wa marudiano dhidi ya KVZ uliochezwa leo...
JKU yaanza kunoga Ligi Kuu Zanzibar KOCHA MKUU wa JKU, AbdulSaleh Mohammed amesema timu hiyo imeanza kuwa bora baada ya kuifunga Wembe mabao 4-0 kwenye Uwanja wa Mao A, Unguja na amefurahi kuvuna pointi tatu za mchezo huo.
Raskazone yaipigia hesabu kali KMKM Raskazone imesema licha ya ugeni wao kwenye Ligi Kuu Zanzibar, lakini bado wanaendelea kujiimarisha ili kupata matokeo mazuri dhidi ya KMKM.
CFFA; Kutoka kulea vipaji hadi kusaka historia kwa Yanga CAF YANGA imefuzu hatua ya pili ya mchujo katika Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya juzi Jumamosi kuiondosha Gaborone United kwa jumla ya mabao 3-2.
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Cristiano Ronaldo awavaa mashabiki CRISTIANO Ronaldo ametaka mashabiki waliohusika na vitendo vya kumdhalilisha Ruben Neves, wakati wa mchezo kati ya Al Taawoun na Al Hilal wapigwe marufuku kuhudhuria mechi maisha yao yote.