PRIME Fei Toto: Mpenzi wangu ameniacha kisa Yanga MSIMU uliopita wa Ligi Kuu Bara kama kuna tukio gumu lililowahi kutikisa nchini ni juu ya sakata la aliyekuwa kiungo wa Yanga Feisal Salum 'Fei Toto' aliyekuwa anashinikiza kuachana na klabu yake...
PRIME Siku 17 za moto Simba ACHANA na suala la Simba kutinga hatua ya makundi kwa sababu sio jambo la kwanza kwao bali timu hiyo ina siku 17 za moto kutoka sasa kwa ajili ya kuwa kwenye ubora wa hali ya juu ili kutengeneza...
PRIME HISIA ZANGU: Aambiwe amepeleka Simba makundi, amesahau kucha HISIA zilikuwa mkanganyiko wakati mashabiki wa Simba walipoondoka Uwanja wa Chamazi juzi. Ni kama wale waliokuwa katika baa na vibanda umiza wakitakazama mechi hii dhidi ya Power Dynamos ya Zambia.
Simba: Manula yupo fiti kucheza Klabu ya Simba imesema golikipa Aishi Manula amepona jeraha lake baada ya kufanyiwa upasuaji wa nyama za paja na sasa yupo fiti kucheza. Manula aliumia katika mechi ya robo fainali ASFC dhidi ya...
JKT Tanzania yatimiza ahadi ikitibua 'cleansheet' za Mashujaa Mwanza. KAMA ilivyoahidi jana Jumatatu kupitia taarifa kwa umma kuitandika Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu, JKT Tanzania imefanya kweli kwa kutimiza ahadi hiyo kwa kuwachapa maafande wenzao...
KMC yatamba kufanya makubwa KMC imetamba kufanya mazuri mbeleni baada ya kuanza vibaya Ligi Kuu na sasa inatamba kufanya makubwa mechi zijazo. Timu hiyo ilianza kwa kutoa sare ya bao 1-1 na Namungo ugenini kisha kuchapwa...
Hawa jamaa watamu kinoma HAKUNA siri, kuna wakati usajili unaofanywa na baadhi ya timu unatia mashaka. Fikiria tu usajili kama uliofanywa msimu uliopita na Simba na Yanga kwa wachezaji kama Ismael Sawadogo, Victor Akpan,...
Kiptum afuata rekodi ya dunia Chicago Marathon BINGWA wa London Marathon, Kelvin Kiptum, aliipa kisogo Mashindano ya Riadha Duniani yaliyofanyika Budapest nchini Hungary na Berlin Marathon nchini Ujerumani ili kuelekeza nguvu zake kwenye mbio...
Onana langoni tena kwa Galatasaray Manchester, England. Kocha wa Manchester United, Erik ten Hag amesema anaamini kuwa kipa wake, Andre Onana atarudi katika kiwango chake wakati kikosi chake kikirudi katika mashindano ya Ligi ya...