Raja Casablanca yamkabidhi Nabi jukumu la kuifufua timu
KOCHA wa zamani wa Yanga, Nasreddine Nabi ametangazwa kuwa mkufunzi mpya wa Raja Casablanca akichukua mikoba ya aliyekuwa kocha wa Simba, Fadlu Davids, aliyetimuliwa wiki hii baada ya matokeo...