PRIME Dili la Simba lakwama Uganda KAMA ulidhani ilimpozuia straika Cesar Lobi Manzoki misimu miwili iliyopita ilitokea kwa bahati mbaya, basi umekosea kwani klabu ya Vipers imeendelea kuibania Simba.
PRIME Simba, Yanga hazichekani LIGI Kuu Bara imesimama huku ikiwa zimeshachezwa jumla ya mechi 124 zilizokusanya mabao 265 yakiwamo 110 yaliyofungwa na nyota wa kigeni 47 na mengine 148 yaliyowekwa wavuni na wazawa 80 mbali na...
Che Malone awaomba radhi mashabiki Simba BEKI wa kati wa Simba, Che Malone leo amewaomba radhi mashabiki wa timu hiyo kutokana kosa alilolifanya jana kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Bravos ya Angola.
PRIME HISIA ZANGU: Operesheni Luanda na Nouakchott zimefanikiwa, tukutane Kwa Mkapa TUANZIE wapi? Tukianza na Luanda, Angola tunaanza kukutana na kosa la Che Malone Fondoh. Imekuwa kawaida kwa sasa Che Malone kufanya makosa anayofanya. Zamani wakati anafika nchini hakuwa na...
Moyes arejea Everton na rekodi Everton juzi imetangaza rasmi kumrejesha David Moyes kuwa meneja wake huku kocha huyo akiingia katika historia kutokana na urejeo huo.
Tabora United mdaka mishale kutoka Gabon MUDA wowote Tabora United inaweza kumtangaza kipa raia wa Gabon, Jean Noel Amonome baada ya kukamilika ishu ya makubaliano ya mkataba.
HADITHI HADITHI: Bomu Mkononi - 15 MISHI, binti mrembo wa Kitanga, ambaye ukimwona unaweza kusema ni Mwarabu, ameolewa na dereva wa malori, Musa, lakini tayari amekolea katika penzi la mfanyabiashara, Mustafa.
Zanzibar Heroes, Burkina Faso kitapigwa tena Mapinduzi Cup WENYEJI wa michuano ya Kombe la Mapinduzi 2025, Zanzibar Heroes imetinga fainali kwa mbinde na sasa itakutana tena na Burkina Faso iliyowanyoa bao 1-0 katika makundi baada ya juzi usiku kuing’oa...
Morocco awafukuza Mkoko, Lanso kambini kwa utovu wa nidhamu Kocha wa Timu ya Taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes, Hemed Suleiman ‘Morocco’ amewaondoa kambini nyota wake wawili kwa utovu wa nidhamu. Katika taarifa iliyotolewa na ZFF, nyota waliofukuzwa ni...
Zanzibar yapiga marufuku upigaji makachu Forodhani Mamlaka ya Mji Mkongwe Zanzibar imepiga marufuku upigaji wa makachu katika eneo la bustani ya Forodhani, baada ya kudaiwa kufanyika vitendo vinavyokiuka maadili.
PRIME HISIA ZANGU: Operesheni Luanda na Nouakchott zimefanikiwa, tukutane Kwa Mkapa TUANZIE wapi? Tukianza na Luanda, Angola tunaanza kukutana na kosa la Che Malone Fondoh. Imekuwa kawaida kwa sasa Che Malone kufanya makosa anayofanya. Zamani wakati anafika nchini hakuwa na...
Straika Kenya afariki dunia STRAIKA wa zamani wa AFC Leopards na timu ya taifa ya Kenya 'Harambee Starlets', Ezekiel Otuoma amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Gabriel Jesus amvuruga Arteta KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta ameonyesha wasiwasi juu ya afya ya straika Gabriel Jesus aliyeumia na kuhitaji msaada wa machela kutolewa kwenye mechi dhidi ya Manchester United.