PRIME Fadlu ageuka mbogo Simba, acharukia mastaa KOCHA wa Simba, Fadlu Davids amegeuka mbogo kwa kuwacharukia mastaa wa timu hiyo kutokana na matokeo ya mechi nne za viporo vya Ligi Kuu Bara, akiwakumbusha pia kazi iliyopo mbele yao katika...
PRIME Yanga yarusha kete kwa kocha Ahly YANGA inajiandaa kushuka uwanjani leo jioni kuvaana na Namungo ya Lindi, ikiwa ni mwendelezo wa mechi za Ligi Kuu Bara iliyoingia raundi ya 27, lakini ndani ya ofisi za mabosi wa klabu hiyo kuna...
Mnoga amaliza kibabe chama jipya la Beckham BEKI wa Kitanzania, Haji Mnoga anayekipiga Salford City ya England amemaliza kibabe msimu akifunga bao moja na asisti nne.
Azam ya ubingwa hii hapa AZAM FC ni kama imemaliza msimu mapema. Ilianza kung’olewa katika Ligi ya Mabingwa Afrika iliyorejea msimu huu baada ya kupita miaka 10 tangu ilipoicheza mara ya kwanza na mwisho 2015.
Arteta alia kikosi chembamba KOCHA wa Arsenal Mikel Arteta ameahidi kwamba dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi kikosi chake kitafanya usajili mkubwa kwa sababu msimu huu kilikuwa na kikosi chembamba.
Dickson Ambundo ajiweka sokoni mapema WAKATI timu ikipambana kusaka nafasi ya kucheza Ligi Kuu msimu ujao, nyota wa Fountain Gate, Dickson Ambundo amefungua milango kwa timu kunasa saini yake akijiengua kikosini.
HADITHI HADITHI: Kwa Mtutu wa Bunduki - 5 Alipoingia katikati ya kundi hilo akaliona gari la Idara ya upelelezi alilokuwa akiendesha Temba, tairi zake za mbele zimeingia katika mfereji. Msembeko alichungulia ndani ya gari hilo na...
Polisi yarejea Ligi Kuu Zanzibar Licha ya vita vya ngumi na midomo iliyotokea leo Jumapili katika mechi ya jasho na damu, maafande wa Polisi wameichakaza Kundemba kwa kuitandika mabao 3-1 kwenye Uwanja wa Mao B, Mjini Unguja na...
New King yavunja mwiko na kupanda ZPL New King yenye historia ya kuishia katika hatua ya pili ya mtoano wa daraja la kwanza imefanikiwa kuvunja ukuta huo leo jioni na rasmi kucheza ZPL msimu ujao.
Mwenge yaizima Junguni, Mwembe Makumbi ikibanwa ZPL Maafande wa Zimamoto wameiwekea ngumu Mwembe Makumbi kwa kutoka sare ya 3-3, huku Mwenge ikiizima Junguni United katika mfululizo wa mechi za Ligi Kuu Zanzibar. Mwembe Makumbi ambao ndio vinara...
Azam ya ubingwa hii hapa AZAM FC ni kama imemaliza msimu mapema. Ilianza kung’olewa katika Ligi ya Mabingwa Afrika iliyorejea msimu huu baada ya kupita miaka 10 tangu ilipoicheza mara ya kwanza na mwisho 2015.
Nyota Yanga Princess awasha moto Misri ALIYEKUWA mshambuliaji wa Yanga Princess, Mkenya Janet Bundi anayekipiga NBE FC ya Misri amezidi kung'ara akiwa kwenye tatu bora za wafungaji bora nchini humo.
Bao la Francesco Acerbi linavyohusishwa na 'kuzimu' Ulikuwa ni usiku babu kubwa katika dimba la Giuseppe Meazza ambalo pia huitwa San Siro, nyumbani kwa Inter Milan.
PICHA: Viongozi mbalimbali wa Serekali, TFF, TPLB, Yanga na Simba walivyowasili kwenye mkutano sakata la Dabi