Musa Mbisa hataki tena presha Ligi Kuu KIPA wa Tanzania Prisons, Musa Mbisa amesema presha waliyokutana nayo msimu ulioisha hivi karibuni, hawatarajii kujirudia msimu ujao, akiiweka mtegoni timu hiyo juu ya hatma yake.
HADITHI HADITHI: Kwa Mtutu wa Bunduki - 5 Alipoingia katikati ya kundi hilo akaliona gari la Idara ya upelelezi alilokuwa akiendesha Temba, tairi zake za mbele zimeingia katika mfereji. Msembeko alichungulia ndani ya gari hilo na...
Kijo kocha mpya Zanzibar Sand Heroes SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF), limemteua Kijo Nadir Nyoni kuwa kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Zanzibar ya Soka la Ufukweni. Taarifa iliyotolewa leo Ijumaa Juni 27, 2025 na Ofisa...
Sauti Sisters yazidi kulizamisha jahazi la Warriors Queens KIPIGO cha mabao 2-1 ilichopokea Warriors Queens kutoka kwa Sauti Sisters, kimeifanya timu hiyo kuwa na hali mbaya zaidi kwenye msimamo wa Ligi Kuu Soka Wanawake Zanzibar. Mchezo huo uliopigwa...
JKU Princess yaendelea kugawa dozi Zanzibar TIMU ya JKU Princess, imeendeleza ubabe katika Ligi Kuu Soka Wanawake Zanzibar (WPL) baada ya kuichapa Dunga Queens mabao 9-0.
PRIME Hizi hapa sababu tano Sillah kusaini Yanga KUELEKEA msimu mpya wa Ligi Kuu Bara, mabingwa watetezi Yanga wanadaiwa kuanza kufanya maboresho ya kikosi kwa kusaka nyota wenye uwezo wa kuongeza ushindani ili kuleta matokeo chanya katika...
Staa wa Yanga kuwania uenyekiti AFC Leopards SC Bonface Ambani, gwiji wa soka nchini Kenya na mchezaji wa zamani wa AFC Leopards, amezindua rasmi ilani yake ya kampeni iitwayo “IPOSIKU” leo Juni 26, 2025, katika ukumbi wa KCB Simba jijini...
Ugarte kajiweka kwa X wa Mbappe STAA mpya wa Manchester United, Matheus Cunha amedhamiria kumshawishi kocha Ruben Amorim katika siku yake ya kwanza ya ‘pre-season’ huko Carrington, Jumatatu.
PICHA: Viongozi mbalimbali wa Serekali, TFF, TPLB, Yanga na Simba walivyowasili kwenye mkutano sakata la Dabi