PRIME Kuna nini Diarra, mabosi Yanga? VIUNGA vya Jangwani mambo yanaonekana kana kwamba yamepoa, kikosi cha Yanga kikiwa mawindoni katika viwanja vya mazoezi kujiwinda na michezo iliyobaki kumalizia msimu huu wa Ligi Kuu Bara na...
HADITHI HADITHI: Kwa Mtutu wa Bunduki - 5 Alipoingia katikati ya kundi hilo akaliona gari la Idara ya upelelezi alilokuwa akiendesha Temba, tairi zake za mbele zimeingia katika mfereji. Msembeko alichungulia ndani ya gari hilo na...
Mlandege yajiweka pazuri mbio za ubingwa ZPL MABINGWA wa Kombe la Mapinduzi, Mlandege imeendelea kuufukuzia ubingwa wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), baada ya kuichapa Mwenge kwa bao 1-0 katika mechi iliyopigwa jana kwenye Uwanja wa Mao A, mjini...
Mwembe Makumbi yarejea kileleni, Mlandege ikifanya mauaji ZPL TIMU ya Mwembe Makumbi City, imerejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) baada ya kuitandika Chipukizi bao 1-0 katika mchezo uliofanyika leo Jumapili Mei 18,2025 kwenye Uwanja wa...
KVZ yaizima Malindi, ikiingia vita ya ubingwa MAAFANDE wa KVZ jana imeizima Malindi kwa mabao 2-1 na kuchupa hadi nafasi ya pili kutoka ya nne ikiingia katika vita ya ubingwa wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL).
PRIME Mambo matano mazito Simba ikivaana na Berkane HAKUNA kitu kingine ila ni ushindi tu. Ndio, hakuna kitu kinachosubiriwa kwa hamu na mashabiki, wapenzi na wanachama wa klabu ya Simba ila ni kuona chama lao la Msimbazi linabakisha kombe la...
Nyota Yanga Princess awasha moto Misri ALIYEKUWA mshambuliaji wa Yanga Princess, Mkenya Janet Bundi anayekipiga NBE FC ya Misri amezidi kung'ara akiwa kwenye tatu bora za wafungaji bora nchini humo.
WAACHE WAUANE! Vita ya michuano ya Ulaya imekaa utamu England LIGI Kuu England 2024/25 itafika ukomo Jumapili, lakini jambo kubwa lililobaki ni vita ya kuwania nafasi ya kucheza michuano ya Ulaya msimu ujao.
PICHA: Viongozi mbalimbali wa Serekali, TFF, TPLB, Yanga na Simba walivyowasili kwenye mkutano sakata la Dabi