Utata wa sura ya mtoto wa Jux SIKU tatu tangu mwanamuziki wa Bongo Flava, Juma Jux na mkewe Priscilla Ojo, maarufu kama Priscy, kuweka wazi kwa mara ya kwanza sura ya mtoto wao, Prince Rakeem Mkambala, mjadala mpya umeibuka...
Bayi: Michezo si kupoteza muda WAKATI Tanzania ikijiandaa kushirikiana na Kenya na Uganda kuandaa Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027, wadau wa michezo wameitaka Serikali na shule nchini kuwekeza zaidi katika...