Waamuzi 65 wafuzu mtihani utimamu wa mwili WAAMUZI 73, wakiwemo wanawake 12, wamefanya mtihani wa utimamu wa mwili katika Uwanja wa Mao Zedong kisiwani Unguja, huku 65 wakifanikiwa kufuzu na 18 wakishindwa.
Vipaji Zanzibar vyateka Simba, Yanga, Azam KASI za klabu za Simba, Yanga na Azam FC kuweka nguvu kusajili wachezaji wazawa kutoka Tanzania Visiwani kwa miaka ya hivi karibuni, inaweza ikapunguza idadi kubwa ya nyota wanaotoka Bara kupata...
Mbeki ahamia KVZ, aweka hadi ya kutetea ubingwa BAADA ya kuitumikia Mlandege kwa misimu mitano mfulululizo, beki wa kushoto, Said Mussa Said maarufu kwa jina la Mbeki, anakwenda kukiwasha KVZ ambayo ni bingwa wa Ligi Kuu Zanzibar msimu wa...