ZFF yaanza uchunguzi vurugu Uhamiaji vs KVZ SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF), kupitia Kamati yake ya Mashindano, limetangaza kufuatilia kwa kina tukio linalodaiwa Kikosi maalum cha Ulinzi cha Valantia Zanzibar kuvamia uwanja...
Timu ya Mlandege yatwaa ubingwa Ligi Kuu Zanzibar Timu ya Mlandege imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu Zanzibar ZPL kwa msimu wa 2024-25 baada ya kuitandika New City mabao 4-2.
Bingwa mpya ZPL ni KVZ au Mlandege BINGWA mpya wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) anatarajiwa kujulikana leo wakati Mlandege na KVZ zitakaposhuka viwanja viwili tofauti kusaka pointi za kufungia msimu wa ligi hiyo.