Amrouche kuchukua wengine Zanzibar SHIRIKISHO la Soka Zanzibar (ZFF) limeandaa michezo miwili maalum ya mchanganyiko wa wachezaji wanaofanya vizuri kwa sasa katika Ligi kuu Soka Zanzibar. Lengo la Michezo hiyo ni kumpa nafasi...
Mwamuzi achezea kichapo, mechi yavunjika Zanzibar MCHEZO wa Ligi Kuu Zanzibar kati ya Kundemba na Zimamoto umeshindwa kumalizika baada mwamuzi wa pembeni kupata kipigo kutoka kwa mashabiki. Pambano hilo lililazimika kusimamishwa na mwamuzi wa...
PRIME Hata michezo mingine Zanzibar ilitisha pia! KWA miaka mingi hadi miaka ya 1970 Zanzibar ilikuwa kitovu cha michezo katika Afrika ya Mashariki na Kati. Hii ilitokana na visiwa hivi kuwa na watu wa makabila yote walioshiriki kila mchezo...