Mwenge yaizima Junguni, Mwembe Makumbi ikibanwa ZPL Maafande wa Zimamoto wameiwekea ngumu Mwembe Makumbi kwa kutoka sare ya 3-3, huku Mwenge ikiizima Junguni United katika mfululizo wa mechi za Ligi Kuu Zanzibar. Mwembe Makumbi ambao ndio vinara...
JKU yaiweka pabaya New City ZPL NEW City imekuwa timu ya tatu kuaga rasmi Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) baada kuchezea kipigo cha mabao 4-0 kutoka kwa Maafande ya JKU katika mechi iliyopigwa jana Jumatatu usiku.
New King yatanguliza mguu mmoja ZPL SHIRIKISHO la Soka Zanzibar(ZFF) limeanza kusaka timu nne zitakazopanda daraja kucheza Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) msimu ujao, ili kichukua nafasi ya zile zitakazoshuka katika Ligi hiyo ya juu ngazi...