KUNA chachu inayoletwa na wachezaji wa kigeni, katika Ligi Kuu Bara, ambao wamekuwa wakionyesha ushindani dhidi ya wazawa katika timu zao zilizowasajili dhidi ya wapinzani.
SERGIO Ramos hajasaini mkataba mpya. Mkataba wake na Real Madrid aliyoichezea kwa miaka 15 akitumika katika zaidi ya mechi 468, tangu mwaka 2005,...
KUISHI na Mtanzania kama mimi hasa ukiwa umetokea sehemu ambayo wamestarabika zaidi ni kazi ngumu ambayo inahitaji ujasiri kuweza...
STRAIKA John Bocco wa Simba na Adam Adam wa JKT Tanzania ndio vinara wa kutupia mabao nyavuni katika viwanja vya ugenini huku Prince Dube wa...
IONDOE Soura ya Algeria halafu iweke Al Marreikh ya Sudan jibu lake unapata kundi lilelile ambalo Simba walipewa miezi 36 iliyopita wakati...