PRIME Kishindo cha mwisho Dabi ya Kariakoo KUTOKA Ijumaa ya Juni 13, 2025 siku ambayo Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) ilitangaza kuusogeza mbele mchezo wa Dabi ya Kariakoo na kusema utachezwa Jumatano Juni 25, 2025, kuna takribani siku 12.
PICHA: Viongozi mbalimbali wa Serekali, TFF, TPLB, Yanga na Simba walivyowasili kwenye mkutano sakata la Dabi