MJUAJI: Simba iliipiga Manchester mabao 5-1 mwaka 1982 MANCHESTER United iko kwenye majanga makubwa zaidi msimu huu. Katika mechi sita imepasuka michezo minne na kushinda miwili. Imechapwa tatu za Ligi Kuu England (EPL) na moja ya Ligi ya Mabingwa...