Wasanii kuokoka watoa neno mashabiki hawawaelewi, wenyewe wafunguka INAFAHAMIKA neno ‘Kuokoka’ ni kurudisha imani katiika dini na kuachana na mambo mengi ya kidunia ambayo hayaleti picha nzuri katika jamii.
PRIME Aucho, Camara hali tete Yanga, Simba NYOTA wawili muhimu katika vikosi vya Yanga na Simba, kiungo Khalid Aucho na kipa Moussa Camara wameibua hofu katika timu hizo kutokana na pancha zao.