Wa kumuoa Kajala bado hajazaliwa MWIGIZAJI wa Bongo Movie, Kajala Masanja amefichua licha ya watu kumhusisha na wanaume wengi tofauti, lakini mwanamume halisi atakayemuoa bado ni siri na hakuna atakayemjua kirahisi.
Tanga, Moro zang’ara UMITASHUMTA TIMU za Morogoro na Tanga zimeanza kwa moto michuano ya Michezo ya Shule za Msingi nchini (UMITASHUMTA) inayoendelea mkoani Iringa kwa kuzisambaratisha Dodoma na Dar es Salaam mtawalia.