Miaka mitatu ndoa ya Billnass, Nandy sio kinyonge! JUMATANO hii mastaa wa Bongo Fleva, BillNass (32) na Nandy (33), waliadhimisha miaka mitatu tangu wamefunga ndoa na kufanya harusi ya aina yake ambayo iliteka mazungumzo mjini na mitandaoni kwa...
Simba yarusha taulo kwa Tshabalala! UONGOZI wa klabu ya Simba ni kama umekubali ya ishe juu ya aliyekuwa nahodha wa timu hiyo, Mohammed Hussein 'Tshabalala' baada ya kukiri kushindwa kumuongezea mkataba mpya.