Davido atamba kwa nyimbo zake, atoa chalenji ya Sh2.65 bilioni
MWANAMUZIKI maarufu wa Nigeria, Davido, ameibua ushindani katika muziki wa Afrobeats baada ya kujigamba kuwa ana nyimbo nyingi zilizofanya vizuri ambazo ni vigumu kuzidiwa na msanii mwingine.