Azam yaitandika Dodoma Jiji Fei Toto akikosa ufungaji bora
MABAO mawili yaliyofungwa na Jean-Jacques Ngita dakika ya 66 na Nathaniel Chilambo dakika ya 89 dhidi ya Dodoma Jiji, yameifanya Azam kumaliza msimu kwa ushindi huo ikikomaa nafasi ya tatu...