Vurugu mchezo wa Stand, Fountain DC Mtatiro aingilia kati Baada ya bao la tatu la Fountain Gate lililofungwa dakika ya 82 na Mudrick Gonda katika mechi ya play off ya kwanza, mashabiki wa Stand United 'Chama la Wana' waanzisha vurugu kwa kurusha mawe na...
HADITHI HADITHI: Kwa Mtutu wa Bunduki - 5 Alipoingia katikati ya kundi hilo akaliona gari la Idara ya upelelezi alilokuwa akiendesha Temba, tairi zake za mbele zimeingia katika mfereji. Msembeko alichungulia ndani ya gari hilo na...
Kijo kocha mpya Zanzibar Sand Heroes SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF), limemteua Kijo Nadir Nyoni kuwa kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Zanzibar ya Soka la Ufukweni. Taarifa iliyotolewa leo Ijumaa Juni 27, 2025 na Ofisa...
Sauti Sisters yazidi kulizamisha jahazi la Warriors Queens KIPIGO cha mabao 2-1 ilichopokea Warriors Queens kutoka kwa Sauti Sisters, kimeifanya timu hiyo kuwa na hali mbaya zaidi kwenye msimamo wa Ligi Kuu Soka Wanawake Zanzibar. Mchezo huo uliopigwa...
JKU Princess yaendelea kugawa dozi Zanzibar TIMU ya JKU Princess, imeendeleza ubabe katika Ligi Kuu Soka Wanawake Zanzibar (WPL) baada ya kuichapa Dunga Queens mabao 9-0.
PRIME Kwaheri Diogo Jota, kamwe hautatembea peke yako MAISHA yana thamani gani? haijulikani. Diogo Jota ameondoka duniani kama upepo. Unaacha utajiri mkubwa, kipaji kikubwa, umri mdogo, umaarufu katika kila pembe ya dunia na kisha unaondoka ndani ya...
Staa wa Yanga kuwania uenyekiti AFC Leopards SC Bonface Ambani, gwiji wa soka nchini Kenya na mchezaji wa zamani wa AFC Leopards, amezindua rasmi ilani yake ya kampeni iitwayo “IPOSIKU” leo Juni 26, 2025, katika ukumbi wa KCB Simba jijini...
Dili la Mbeumo, Man United yapewa siku mbili BRENTFORD imetoa siku mbili kwa Manchester United na imekataa kushusha bei ya mshambuliaji wa kimataifa wa Cameroon, Bryan Mbeumo kufikia walau pauni 63 milioni ambazo Man United ipo tayari kutoa.
PICHA: Viongozi mbalimbali wa Serekali, TFF, TPLB, Yanga na Simba walivyowasili kwenye mkutano sakata la Dabi