PRIME Chilambo anyoosha mambo, Barker afichua siri SIMBA imeanza msimu mpya kwa kuonyesha sura tofauti ya kiuchezaji, hasa katika namna wachezaji wake wanavyoweza kubadilika majukumu kulingana na mazingira ya mchezo huku beki wa kulia, Nathaniel...
Jose Mourinho awavuruga mashabiki Real Madrid KOCHA Jose Mourinho alihitaji dakika 15, pekee kuwafanya mashabiki wa Real Madrid kuanza kuamini tena uwezo wake, lakini mambo yalibadilika haraka baada ya timu hiyo kushindwa kuendeleza kiwango...
Barcola, Mbaye ni suala la muda tu Liverpool WACHEZAJI wanaowindwa na Liverpool, Bradley Barcola na Ibrahim Mbaye, wameendelea kuachwa nje ya kikosi cha Paris Saint-Germain (PSG), hali inayozidisha sintofahamu kuhusu hatma yao katika klabu...
Azam FC yaishusha Yanga ikiichapa Pamba Jiji AZAM FC imesogea hadi nafasi ya pili katika msimamo wa Ligi Kuu Bara na pointi saba ikiishusha Yanga yenye pointi sita, baada ya leo Agosti 23, 2026 kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Pamba...
KISIWA CHAMAUTI - 27 ILIPOISHIA “Mke si nilishamuacha?. Au wewe ulikuwa hujui?” “Mimi najua watania tu lakini mke bado unaye” “Basi na yaishe. Mimi niliuliza tu kutaka kujua. Kama unaye mke au huna hakuna tatizo”...
Inzaghi afichua kilichomkwamisha Namungo BAADA ya Namungo kuinasa saini ya mshambuliaji wa Uhamiaji, Ali Khatibu 'Inzaghi' wameamua kuachana naye kwani hawakufikia makubaliano rasmi na viongozi wa timu hiyo.
Kocha Mafunzo atimkia Raskazone ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Mafunzo, Salum Haji Salum amejiunga rasmi na Raskazone iliyopanda daraja msimu huu wa Ligi Kuu Zanzibar.
Madeni yaliishusha Mwenge, sasa imerudi kivingine Zanzibar TIMU ya Mwenge imefanikiwa kurejea Ligi Kuu Zanzibar 2026-2027 baada ya msimu wa 2024-2025 kushuka daraja, huku sababu kubwa ya kushuka kwao wakati huo ikitajwa ni madeni yaliyoikabili klabu hiyo.
Kenya yapoteza mechi mfululizo WAFCON NDOTO za timu ya taifa ya Kenya kufuzu robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026, zimefifia baada ya kupokea kichapo cha pili mfululizo katika Kundi A ikilala kwa bao...
Barcola, Mbaye ni suala la muda tu Liverpool WACHEZAJI wanaowindwa na Liverpool, Bradley Barcola na Ibrahim Mbaye, wameendelea kuachwa nje ya kikosi cha Paris Saint-Germain (PSG), hali inayozidisha sintofahamu kuhusu hatma yao katika klabu...