Dili la Mbeumo, Man United yapewa siku mbili BRENTFORD imetoa siku mbili kwa Manchester United na imekataa kushusha bei ya mshambuliaji wa kimataifa wa Cameroon, Bryan Mbeumo kufikia walau pauni 63 milioni ambazo Man United ipo tayari kutoa.
PICHA: Viongozi mbalimbali wa Serekali, TFF, TPLB, Yanga na Simba walivyowasili kwenye mkutano sakata la Dabi