KMC yaipiga mkwara Yanga KIKOSI cha KMC kinaendelea kujifua kwa ajili ya mchezao wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga huku mabosi wao wakisisitiza wamejiandaa kuwadhalilisha vinara hao na mabingwa wa kihistoria wa ligi hiyo.
Rekodi ilivyovunja rekodi KWA kawaida rekodi ya michezo ikiwekwa kinachosubiriwa ni kuvunjwa na kuwekwa nyingine.
Ngassa azua ubishi WINGA machachari wa Gwambina FC, Mrisho Ngassa amesema bado ana nafasi ya kucheza Taifa Stars licha ya watu wengi kumchukulia kawaida.
Aussems atuliza Ingwe MASHABIKI wa AFC Leopards sasa wanaweza kutuliza presha baada ya kocha mkuu wao, Patrick Aussems ‘Uchebe’, kuwahakikishia atarudi tena kuiongoza Ingwe kusaka ubingwa wa Ligi Kuu Kenya msimu huu.
Buswita, Makame kupelekwa kamati ya maadili WACHEZAJI sita wa Polisi Tanzania wanatarajia kupelekwa kwenye Kamati ya Maadali kutokana na makosa ya utovu wa nidhamu.
Mrisho Ngassa: Nilivaa jezi ya Yanga kwa hasira MRISHO Khalfan Ngassa ni winga anayekubalika katika soka la Bongo na sehemu nyingi. Ni winga mwenye kasi awapo kwenye majukumu. Ngassa amecheza soka kwa mafanikio akiwa na timu tofauti hasa Yanga.
Staa Msuva arejea zake Morocco BAADA ya muda wake wa mapumziko mafupi kumalizika nchini, mshambuliaji wa Kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva amerejea zake Morocco kuendelea na majukumu yake ya kuitumikia, Wydad Casablanca.
Mwambusi hana maisha marefu Yanga WAZEE wa kudodosa wamepenyeza kuwa eti kocha mpya wa Yanga, Sebastien Migne anaweza kumpiga chini Juma Mwambusi mwishoni mwa msimu mara baada ya kuzoeana na wachezaji.
Ajibu kupigwa chini msimbazi NYOTA wa Simba, Ibrahimu Ajibu huenda akaonyeshwa mlango wa kutokea mwishoni mwa msimu kama asipoonyesha mabadiliko yoyote, maana inaelezwa kiwango chake hakimvutii kocha wa timu hiyo, Didier Gomes.
Migne apewa mechi 4 Dar Uongozi wa Yanga kupitia kwa Senzo Mazingisa licha ya kutoweka wazi jina la Kocha huyo lakini amethibitisha kwamba atatua nchini kabla ya mechi ya kwanza ya mashindano. Mwanaspoti limejiridhisha...