Fainali Simba, Yanga Kigoma, TFF yakomba Sh12 milioni kwa adhabu
BAADA ya Simba kubeba kombe la Azam Shirikisho 2020/21 mbele ya watani wao Yanga kwa kuwafunga bao 1-0 kwenye uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma sasa timu zote zitaonja chungu ya faini iliyotokana...