Arsenal kuvunja benki kwa Julian Alvarez ARSENAL italazimika kuvunja benki kwa kutumia takriban Pauni 80 milioni ili kumsajili mshambuliaji wa Atletico Madrid na Argentina, Julian Alvarez (25) dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
LEO NDO LEO! Emirates kitaumana Arsenal v Man United YANINI kuandikia mate. Wino si upo Emirates? Hizo ni tambo za mashabiki wa Arsenal na Manchester United wenye mazibizano yasiyokwisha.
Salah kuchukua nafasi ya Benzema Al-Ittihad BAADA ya kuachana na Karim Benzema aliyetimkia Al Hilal, sasa Al Ittihad imeonyesha nia ya kumsajili mshambuliaji wa Liverpool na timu ya taifa ya Misri, Mohamed Salah (33) katika dirisha lijalo...
Mmesikia! Rudiger ana jambo lake, aingia anga za Tottenham TOTTENHAM Hotspur inamtazama beki wa Real Madrid na timu ya taifa ya Ujerumani, Antonio Rudiger (32), kama mbadala wa nahodha wa sasa wa timu hiyo, Cristian Romero (27) anayeweza kuondoka mwisho...
Liverpool mstari wa mbele dili la Anthony Gordon LIVERPOOL ipo mbele katika mbio za kumsajili winga wa Newcastle United na timu ya taifa ya England, Anthony Gordon, 24, ambaye pia anahitajika na Manchester City na Arsenal.
Endrick ruksa kuondoka Real Madrid REAL Madrid inaangalia uwezekano wa kumuuza mshambuliaji wao chipukizi raia wa Brazil, Endrick mwenye umri wa miaka 19, mara atakaporejea kutoka kwa mkopo Olympique Lyon.
Uhondo wa masupastaa hawa kukosekana Morocco MASUPASTAA wengi wa soka wenye asili ya Afrika wamekuwa wakichezea mataifa ya Ulaya na kufanya mashabiki wa mchezo huo wa bara hili kukosa huduma zao matata kabisa kwenye mashindano makubwa kama...
Rodrygo, Leao wamzuzua Arteta, awataka Arsenal ARSENAL imeonyesha kuvutiwa kwa muda mrefu na winga wa Real Madrid na timu ya taifa ya Brazi, Rodrygo mwenye umri wa miaka, 24, pamoja na winga wa AC Milan na Ureno Rafael Leao, 26, na inataka...
Jichanganye, uchanganywe! Arsenal haikati utani EPL NDO hivyo. Arsenal iko siriazi kwenye kuusaka ubingwa wa Ligi Kuu England msimu huu. Pointi 33 kileleni baada ya mechi 14, ikishinda 10, sare tatu na kupoteza moja tu.
Galatasaray yaingilia dili la Waarabu kwa Mohamed Salah VIGOGO wa Uturuki, Galatasaray, wanapanga kuingilia mipango ya timu za Ligi Kuu ya Saudi Arabia kwa kumshawishi mshambuliaji wa Liverpool, Mohamed Salah kukubali ofa yao ya mshahara wa Pauni 16...