Rodrygo Liverpool, Dominic Szoboszlai Real Madrid LIVERPOOL inafikiria kufanya mabadilishano ya wachezaji na Real Madrid na itamchukua winga wa kimataifa wa Brazil, Rodrygo, 25, kutoka timu hiyo kisha wao kumwachia kiungo wao wa kimataifa wa...
Arsenal, Man City kuanza mbio ubingwa, mechi 10 za mwisho EPL ARSENAL inaingia kwenye mechi 10 za mwisho za msimu huu ikiwa kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu England, lakini inakabiliwa na changamoto ngumu kwelikweli ndani ya miezi michache ijayo kabla ya...
Salah awindwa tena Saudia Waarabu Saudia AL-Ittihad Club ya Saudi Arabia ambayo ilishindwa kufanikisha mpango wake wa kumsajili mshambuliaji wa Liverpool, Mohamed Salah 2023, imerudi mezani ambapo inaitaka huduma ya staa huyo...
Rashford aingia katika anga za PSG, AC Milan PSG na AC Milan zinafuatilia kwa karibu maendeleo ya straika wa Manchester United, Marcus Rashford, 28, na zinaweza kutuma ofa ya kumsajili katika dirisha lijalo.
Robert Lewandowski, Juventus wana jambo lao INAELEZWA Juventus imeanza kufanya jitihada za kumsajili mshambuliaji wa Barcelona na timu ya taifa ya Poland, Robert Lewandowski mwenye umri wa miaka 37kuelekea dirisha lijalo la majira kiangazi.
Man United yaweka mzigo kwa Bruno Fernandes MANCHESTER United ipo tayari kumpa kiungo wake wa kimataifa wa Ureno, Bruno Fernandes, ofa mpya ya mkataba itakayomuingizia mshahara wa hadi Pauni 400,000 kwa wiki.
Nusu fainali Kombe la FA siyo kinyonge DROO ya nusu fainali ya Kombe la FA imetoa picha mpya ya michuano hiyo kati ya timu zilizofuzu, huku kila moja ikipania kutinga fainali na hatimaye kutwaa ubingwa.
PSG, Liverpool, Barcelona na Atletico kwenye vita ya nusu fainali UEFA BAADA ya jana Jumanne kushuhudia kipute cha Ligi ya Mabingwa Ulaya kikipigwa, leo Jumatano mtoko ni ulke ule na miamba ya soka inaonyeshana kazi kusaka tiketi ya nusu fainali.
Vigogo Liverpool wamepania kwa Eduardo Camavinga LIVERPOOL inajiandaa kikamilifu kwa ajili ya kuwasilisha ofa kwenda Real Madrid baada ya klabu hiyo kueleza kwamba ipo tayari kusikiliza ofa kwa ajili ya kumuuza kiungo wa Ufaransa, Eduardo...
WATAUANA: Vita ya top 5 England ni kukabana koo VITA ya kuwania nafasi ya kushiriki Ligi ya Mabingwa Ulaya itaondoka na kichwa cha mtu katika mikikimikiki ya Ligi Kuu England na miamba sita inakabana koo.