Dusan Vlahovic ni Spurs au Chelsea MSHAMBULIAJI wa Juventus, Dusan Vlahovic, 25, anataka kutua katika Ligi Kuu England kwenye dirisha lijalo la majira ya kiangazi na timu pekee ambazo ameonyesha nia za kutaka kuvaa jezi zao ni...
Napoli sasa yamuomba Kobbie Mainoo kwa mkopo NAPOLI imewasilisha rasmi maombi kwenda Manchester United kwa ajili ya kumsajili kwa mkopo kiungo wa Manchester United na timu ya taifa ya England, Kobbie Mainoo, katika dirisha la usajili la...
Mkhitaryan afichua Mourinho alivyomfanya aondoke Man United KIUNGO Henrikh Mkhitaryan amefichua ugomvi wake na kocha Jose Mourinho na ndio chanzo kilichomfanya afikie mwisho wa zama zake kuitumikia Manchester United.
Arteta aponzwa na kauli yake, mashabiki wamvaa KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amekosolewa na mashabiki baada ya kutoa namba ambazo zinakinzana na ukweli mbele ya waandishi wa habari.
Dili la Jadon Sancho kutua AS Roma lafikia patamu MANCHESTER United ipo tayari kukubali ofa ya AS Roma ya kuwauzia staa wao Jadon Sancho mwenye umri wa miaka 25 kwa mkopo wenye sharti la kumnunua moja kwa moja mwishoni mwa msimu.
Arsenal wawasiliana na wawakilishi wa Frenkie de Jong RASMI Arsenal imewasiliana na wawakilishi wa kiungo wa Barcelona, Frenkie de Jong, 28, kwa ajili ya kumsajili katika dirisha hili la majira ya kiangazi.
MKEKA TAYARI: Magwiji watoa utabiri mapema EPL GARY Neville na Jamie Carragher wametoa utabiri wao wa mambo ya Ligi Kuu England yatakavyokuwa msimu huu wa 2025-26 huku wakipingana kwenye maeneo kadhaa.
Andre Onana atua katika anga za Inter Milan Ulaya INTER Milan inamfuatilia kwa karibu kipa wa Manchester United na timu ya taifa ya Cameroon, Andre Onana, ambaye anahusishwa kuwa katika mpango wa kuachana na Mashetani Wekundu katika dirisha hili.
Chelsea yajitosa katika vita ya Marc Guehi CHELSEA imejiunga na timu nyingine za England na Hispania kwa ajili ya kuiwania saini ya beki wa kati wa Crystal Palace na timu ya taifa ya England, Marc Guehi, 25, ambaye mkataba wake na Crystal...
Ishu ya viwanja itaharibu ladha ya Ligi Kuu JUZI Jumamosi, Bodi ya Ligi Kuu Bara (TPLB) ilitangaza rasmi kuufungia Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi uliopo mkoani Tabora kwa kushindwa kukidhi vigezo vya kutumika kwenye michezo ya mashindano ya...