Cooper Flagg na Wenzake Watikisa Raundi ya Kwanza NBA Draft 2025 KATIKA kila kona ya Marekani kipindi cha “NBA Draft” kinatazamwa kwa jicho la matumaini, hofu na msisimko.
Rasmi dilisha la usajili limefunguliwa, kazi inaanza! DIRISHA hili la usajili linarajia kupamba moto zaidi kwenye klabu za Ligi Kuu England kuanzia wiki hii baada ya awali kuonekana kwenda kwa moto hafifu kwa sababu timu zilikuwa zikisubiri Juni 30...
Hugo Ekitike aingia katika anga za Arsenal ARSENAL imeingia katika vita dhidi ya Chelsea, Liverpool na Manchester United kwenye harakati za kumsajili mshambuliaji wa Eintracht Frankfurt na timu ya taifa ya Ufaransa, Hugo Ekitike mwenye...
Watkins atua anga za Man United, dau latajwa MSHAMBULIAJI wa Aston Villa, Ollie Watkins, mwenye umri wa miaka 29, yupo kwenye orodha ya mastaa ambao Manchester United imepanga kuwasajiliwa katika dirisha hili ikiwa mshambuliaji wa...
Ngoma ngumu shtaka moja la Diddy MAHAKAMA ya New York, Marekani imeanza kusikiliza kesi inayomkabili mwanamuziki nyota, Sean 'Diddy' Combs, huku jopo la baraza la mahakama likifikia uamuzi kuhusu mashtaka manne kati ya matano...
Bayern yamgeukia Rashford BAYERN Munich imeingia katika harakati za kutaka kumsajili mshambuliaji wa Manchester United na timu ya taifa ya England, Marcus Rashford, mwenye umri wa miaka 27, baada ya kuvutiwa na kiwango...
Mastraika Isac, Ekitike wanavyosumbua vogogo DIRISHA la usajili wa mastaa la majira ya kiangazi huko Ulaya lipo wazi na sasa gumzo kubwa ni kuhusu huduma za mastraika. Nani anafaa?
Manchester United yataja bei ya kumuuza Sancho MANCHESTER United inataka Pauni 25 milioni kwa ajili ya kumuuza winga wake Jadon Sancho katika dirisha hili la majira ya kiangazi ambapo timu kadhaa zinadaiwa kuhitaji huduma yake.
Mabosi Bayern Munich watua kwa Luis Diaz IMEFICHUKA Bayern Munich imewasilisha ombi kwenda Liverpool ili kumnunua winga wao Luis Diaz, mwenye umri wa miaka 28, katika dirisha hili.
Ngapi huko? Mashabiki wataulizana NGAPI huko? Bila shaka ni swali watakalokuwa wakiulizana mashabiki wa soka hiyo Jumapili, wakati kipute cha fainali ya Kombe la Dunia la Klabu litakapopigwa uwanjani MetLife, Marekani.