Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8999 results for Mwandishi :

  1. Mateta aliyeitungua Man United atakiwa Atletico

    ATLETICO Madrid ni miongoni mwa timu kubwa zinazohitaji saini ya straika wa Crystal Palace, Mfaransa Jean-Philippe Mateta, 27, ambaye mkataba wake na timu anayoichezea unatarajiwa kumalizika 2026.

    Tetesi Pict
  2. Kwa Rashford pesa siyo shida, anataka tu kucheza

    WANASEMA ukiona cha nini wengine wanawaza watakipata line. Ndicho kilichotokea kwa Marcus Rashford ambaye alikuwa hapati namba kwenye kikosi cha Manchester United na zaidi hakujumuishwa kabisa...

    Rashford Pict
  3. Delap azipagawisha Chelsea na Manchester United

    MANCHESTER United na Chelsea zipo katika vita ya kuwania huduma ya straika wa Ipswich Town na England, Liam Delap, 21, ambaye ni miongoni mwa wafungaji waliofanya vizuri tangu kuanza kwa msimu...

    Tetesi Pict
  4. Frimpong azigonganisha Liverpool, Manchester City

    LIVERPOOL na Manchester City zinapambana vitakuiwania saini ya beki wa kulia wa Bayer Leverkusen na timu ya taifa ya Uholanzi, Jeremie Frimpong, 24, katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi na...

    Tetesi Pict
  5. PRIME Ukipanda ndege ya supastaa Ronaldo utagoma kushuka!

    UNAPOKUWA supastaa kama Cristiano Ronaldo, unahitaji usafiri wa maana kama wa ndege binafsi ili kwenda sambamba na staili yako ya maisha.

    Ronaldo Pict
  6. Darwin Nunez awekwa sokoni rasmi Liverpool

    STRAIKA wa Liverpool, Darwin Nunez inadaiwa ni mmoja wa wachezaji walipewa ruhusa ya kuondoka timu hiyo dirisha lijalo la majira ya kiangazi.

    Nunez Pict
  7. Nicolas Jackson aingia anga za Atletico

    ATLETICO Madrid inataka kutuma ofa kwenda Chelsea katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi ili kuipata saini ya mshambuliaji wa timu hiyo na Senegal, Nicolas Jackson, 23.

  8. Kounde wa Barcelona aingia anga za Chelsea

    CHELSEA ipo tayari kulipa Pauni 83 milioni kwenda Barcelona ili kuipata saini ya beki kisiki wa timu hiyo na timu ya taifa ya Ufaransa, Jules Kounde, 26, katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi.

    Tetesi Pict
  9. Sababu hii itamuondoka Isak Newcastle United

    NEWCASTLE United huenda ikawa tayari kumuuza straika wake raia wa Sweden, Alexander Isak katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi Ulaya kwa Euro 100 milioni ikiwa itashindwa kufuzu kucheza...

    Tetesi Pict
  10. Angachi ataja sababu ya kuchagua jeshi na kukacha soka la kulipwa Ulaya

    Wakati wachezaji wengi wa soka wanaota kucheza soka la kulipwa nje ya nchi, kiungo wa Ulinzi Starlets na Harambee Starlets, Sherly Angachi Andibo amechagua njia tofauti akijiunga na jeshi ili...

Previous

Page 581 of 900

Next