PRIME Mzizima Derby… Mtajua hamjui! BAADA ya awali kuikosa burudani ya mchezo wa kwanza kati ya Azam FC na Simba uliopelekwa visiwani Zanzibar, safari hii mashabiki wa soka wamesogezewa uhondo wakati timu hizo zitakaporudiana...
Van Nistelrooy washamchoka MASHABIKI wa Leicester City wameanza kumchoka kocha Ruud van Nistelrooy wakimtaka aondoke haraka baada ya kuona matokeo ya hovyo hayaonekani kukoma kwenye kikosi hicho.
Guardiola amchomoa De Bruyne kimtindo SUPASTAA, Kevin De Bruyne atalazimika kutazama upya mpango wake wa kutaka kustaafu soka kwenye kikosi cha Manchester City baada ya kauli ya kocha Pep Guardiola kuhusu mahitaji ya soka la kisasa.
Refa wa Man United ameonyeshwa picha sio REFA wa zamani wa Ligi Kuu England, Mark Halsey ameishambulia VAR akisema ni ya hovyo baada ya kuinyima Everton nafasi ya kushinda mechi kwenye sare ya 2-2 dhidi ya Manchester United uwanjani...
Man United yamtaka Son wa Spurs Old Trafford MANCHESTER United imeripotiwa kujiandaa kupeleka ofa ya maana kabisa huko Tottenham Hotspur kwa ajili ya kunasa huduma ya mshambuliaji wa Korea Kusini, Son Heung-min ili akakipige Old Trafford.
Man City Liverpool hii usicheze mbali inatoa 1.5 mwanangu LIVERPOOL imetikisa nyavu mara 62 kwenye Ligi Kuu England hadi sasa. Manchester City yenyewe imetupia kwenye nyavu za wapinzani mara 52. Kwa pamoja timu hizo zimefunga mabao 114.
Everton 2 Man Utd 2: Refa ainyima penalti Everton jiooni EVERTON imenyumwa penalti kwenye dakika za majeruhi wakati Manchester United ikipambana kutoka nyuma na kuambulia sare ya mabao 2-2 katika mchezo wa Ligi Kuu England uliofanyika uwanjani Goodison...
Camavinga anauzwa, weka ofa yako ubaoni REAL Madrid imeripotiwa kufungua milango ya kumpiga bei kiungo Eduardo Camavinga kwenye dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi endapo kama kutakuwa na ofa nzuri ubaoni.
Riise amtaka Isak Anfield MABOSI wa Liverpool wameshauriwa kufungua pochi kumsajili straika wa Newcastle United, Alexander Isak kwenda kuchukua mikoba ya Darwin Nunez ambaye hana maajabu tangu alipotua Anfield.
Arteta, Slot vita nje ndani yani ARSENAL na Liverpool zinaweza kujikuta kwenye wiki moja matata itakayowafanya kuwa kwenye vita kali ya kusaka ubingwa wa Ligi Kuu England na ule wa Ligi ya Mabingwa Ulaya.