Trent kuruhusiwa fasta Madrid BEKI wa kulia, Trent Alexander-Arnold anajiandaa kwenda kujiunga na Real Madrid akitokea Liverpool kwa ada isiyozidi Pauni 1 milioni ndani ya muda ili akakipige kwenye michuano ya Kombe la Dunia...
Man United ni wao tu kwa Osimhen, Chelsea yajitoa MANCHESTER United imeripotiwa kujiandaa kufanya usajili mkubwa kwenye dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi ili kumpatia kocha Ruben Amorim kikosi ambacho kitakuwa na nguvu ya...
Tiketi ya UEFA kumpa Casemiro pesa ndefu KIUNGO wa Kibrazili, Casemiro anajiandaa kupokea nyongeza kubwa kwenye mshahara wake endapo kama Manchester United itanyakua ubingwa wa Europa League na kukamatia tiketi ya kucheza Ligi ya...
HII KITU HAIKUBALIKI… Nahodha Arsenal, kocha wawaambia mastaa NAHODHA wa Arsenal, Martin Odegaard amewaambia wachezaji wenzake kwenye kikosi hicho kwamba kipigo cha mabao 2-1 walichokumbana nacho dhidi ya Bournemouth, jana Jumamosi "haikubaliki".
Ligi Kuu za Ulaya ni mchakamchaka MCHAKAMCHAKA wa Ligi Kuu za Ulaya unaendelea kupamba moto, kuanzia kwenye Ligi Kuu England, La Liga, Bundesliga, Serie A na Ligue 1. Ni balaa.
'Mbongo' aitibulia Bayern pati la ubingwa PATI la ubingwa la klabu ya Bayern Munich, imetibuliwa Ujerumani baada nyota mwenye asili ya Tanzania, Yussuf Poulsen kufunga la la kusawazisha sekunde chache kabla ya filimbi ya mwisho na...
Guardiola afunguka kusepa Man City PEP Guardiola amefunguka kwamba atang'oka kwenye soka kwenda kumpumzika baada ya kuachana na Manchester City, lakini ameweka kando mpango wa kustaafu kazi yake ya ukocha.
Klopp atajwatajwa huko Real Madrid KIAPO cha Jurgen Klopp alichoweka ni kwamba atapumzika baada ya kuachana na Liverpool, lakini sasa kumekuwa na tetesi nyingi zikimhusisha na mpango wa kwenda kuchukua mikoba ya kuinoa Real Madrid.
Arteta kicheko Havertz yupo fiti KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amesema supastaa wake Kai Havertz anakaribia kurudi uwanjani kabla ya msimu kumalizika na hilo linaongeza mzuka zaidi kwenye kikosi hicho kabla ya mechi ya...
PRIME BALAA! Tishio jipya afya za mastaa Ligi Kuu bara LIGI Kuu Bara ipo ukingoni kabla ya kufikia tamati, huku zikiwa zimeshapigwa mechi 210 ikiwamo iliyochezwa jana jioni kwenye Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam kati ya wenyeji Simba na Mashujaa...