Jude Bellingham kuungana na Rudiger BAADA ya Antonio Rudiger kufanyiwa upasuaji wa goti, staa mwingine wa Real Madrid, Jude Bellingham yuko katika hatua za mwisho kufanyiwa upasuaji wa bega kutokana na tatizo la muda mrefu...
Guardiola hashtuki KDB kusakwa Anfield BAADA ya kuibuka kwa uvumi Liverpool inafanya mchakato wa kunasa huduma ya Kevin De Bruyne limemuibua kocha wa Manchester City, Pep Guardiola.
Arsenal bado kidogo tu kunasa saini ya Zubimendi ARSENAL imeripotiwa kufikia kwenye hatua nzuri ya kumsajili kiungo wa Real Sociedad, Martin Zubimendi katika dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi huko Ulaya.
Ghafla Casemiro kapindua meza KIUNGO wa Kibrazili, Casemiro huenda akacheza na kumalizia maisha yake ya kisoka kwenye kikosi cha Manchester United baada ya kurudi kwenye kiwango bora kabisa chini ya Kocha Ruben Amorim.
Gyokeres kachagua timu STRAIKA, Viktor Gyokeres ameshafanya uamuzi wa kutua kwenye Ligi Kuu England na tayari ameshachagua klabu yake mpya ya kwenda kuitumikia msimu ujao.
Arteta: Unabisha? Angalia takwimu MIKEL Arteta ameshikilia msimamo wake, Arsenal ilikuwa timu bora zaidi kati ya zote zilizocheza Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu na kumwambia Luis Enrique anayebisha “Kaangalie takwimu.”
Madrid ya Alonso, mtaomba poo! REAL Madrid itakuwa ya fomesheni ya tofauti kabisa chini ya kocha mpya Xabi Alonso.
Mastaa wasioimbwa NBA 2025 KATIKA kipindi cha mchujo (playe off) kinachoendelea kwenye Ligi ya Kikapu Marekani (NBA), macho ya wengi yameelekezwa kwa nyota wanaobeba majukumu ya timu.
PRIME Kinachoendelea kwa watoto wa wanasoka maarufu Rooney, Ronaldo WANASEMA mtoto wa nyoka ni nyoka. Na hicho ndicho tunachokisubiri kwa watoto wa masupastaa wa mpira wa miguu, Wayne Rooney na Cristiano Ronaldo.
Ballon d’Or 2025 ipo kwa watu hawa KAMA ulidhani ushindani wa Ballon d'Or haupo tena baada ya Lionel Messi na Cristiano Ronaldo kuondoka utakuwa umejidanganya sana, tuzo hiyo haijawahi kudoda.