Bilbao yaikazia Madrid kwa Nico Williams KOCHA wa Athletic Bilbao, Ernesto Valverde ametuma ujumbe kwa Real Madrid, baada ya kusisitiza kuwa mabosi wa timu hiyo wanafanya kila linalowezekana ili staa wao Nico Williams abakie kwenye...
Thadeo Lwanga azifuata Simba, Yanga CAF KIUNGO wa zamani wa Simba, Thadeo Lwanga, 31, amebeba ubingwa wa Ligi Kuu Rwanda akiwa na APR, leo Jumamosi baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Rwamagana City na kufikisha pointi 64.
Kisa Modric Madrid yamnyatia Mac Allister REAL Madrid ina mpango wa kutaka kumsajili kiungo wa Liverpool na timu ya taifa ya Argentina, Alexis Mac Allister ili akawe mrithi wa kiungo raia wa Croatia, Luka Modric, 39, ambaye ametangaza...
Man Utd ikidoda... McTominay, Lukaku wabeba ubingwa Italia NDO hivyo. Mastaa walioonwa si kitu Manchester United, Scott McTominay na Romelu Lukaku wamenyakua taji la Serie A ndani ya wiki moja hiyo hiyo ambayo klabu yao ya zamani ilikumbwa na aibu ya...
Wydad AC yatambulisha wapya watatu, Aziz Ki ndani KLABU ya Wydad imewatambulisha nyota watatu wapya, akiwamo aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz Ki waliojiunga na timu hiyo inayojiandaa na Michuano ya Kombe la Dunia kwa Klabu...
Indiana Pacers mabingwa wa comeback NBA KATIKA ulimwengu wa mpira wa kikapu ushindi mkubwa haupimwi tu kwa pointi zilizopatikana, lakini mara nyingi hutokana na moyo, uvumilivu na uwezo wa kurudi mchezoni licha ya kupigwa bao.
Arsenal mpo? Msikieni ndugu yake Gyokeres MMOJA wa wanafamilia ya straika Viktor Gyokeres amedai anaamini staa ataendelea kubaki kwenye kikosi cha Sporting CP licha ya kuhusishwa kwenda Arsenal.
Fernandes abakiza wiki moja kuamua NAHODHA wa Manchester United, Bruno Fernandes ameripotiwa kwamba amepanga hadi wiki ijayo atatoa uamuzi kama anataka kuachana na miamba hiyo ya Old Trafford baada ya kuwekewa mezani dili la Pauni...
Arne Slot kupewa dili jipya Anfield MABOSI wa Liverpool wameripotiwa kuwa na mpango wa kumpa dili jipya kocha Arne Slot baada ya Mdachi huyo kufunguka kwamba anataka abaki kwenye timu hiyo muda mrefu kama Jurgen Klopp.
Arteta hataki kumtema Partey KOCHA Mikel Arteta ameripotiwa kwamba kwa mara ya kwanza anataka kiungo Thomas Partey asainishwe mkataba mpya wa kuendelea kubaki Arsenal.