Wakali wa kufumania nyavu 2025 STRAIKA, Viktor Gyokeres alikuwa kinara wa mabao 2024, alipohitimisha mwaka huu akifunga mara 52.
PRIME Yule refa wa Simba, Berkane kumbe ndo zake KILICHOTOKEA kwa mwamuzi wa mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baina ya Simba dhidi ya RS Berkane, Dahane Beida raia wa Mauritania, kinatajwa kuwa ni mwendelezo wa upepo mbaya...
Ronaldo anaweza kumpa kila Mtanzania Sh36 milioni HIVI karibuni tovuti mbalimbali duniani ziliripoti kuwa utajiri wa Cristiano Ronaldo umepanda hadi kufikia dola 800 milioni ambazo ni zaidi ya Sh2 trilioni kwa pesa za Bongo.
Mastaa wamwangukia Bruno Man United WACHEZAJI wa Manchester United wanadaiwa kumuomba kapteni wa timu hiyo, Bruno Fernandes abaki, baada ya ripoti kufichua kwamba staa huyo anaweza kuondoka katika dirisha hili kuhamia Saudi Arabia...
Sita hatarini Liverpool kisa Wirtz LIVERPOOL bado inaweza kujaribu kumjumuisha mmoja kati ya wachezaji wao sita kama sehemu ya ofa ili kuipata saini ya kiungo mshambuliaji wa Bayer Leverkusen, Florian Wirtz, 22, katika dirisha...
Azizi Ki, Ronaldo lolote litatokea KIUNGO wa zamani wa Yanga, Stephen Aziz Ki huenda akacheza timu moja na Ronaldo baada ya staa wa kimataifa wa Morocco, Nordin Amrabat kuthibitisha uvumi kuwa timu yake mpya, Wydad Casablanca...
Kombe jipya la Shirikisho Afrika si mchezo SHIRIKISHO la Soka Afrika mapema jana lilizindua kombe jipya la michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika kabla ya kupigwa kwa mechi ya pili ya fainali kati ya Simba na RS Berkane ambayo miamba hao...
Napoli yajitupa kwa Kevin de Bruyne KIUNGO wa kati wa Manchester City, Kevin de Bruyne, mwenye umri wa miaka 33, yuko mbioni kukamilisha uhamisho wa kujiunga na mabingwa wa Serie A, Napoli, ndani ya wiki mbili zijazo.
Arsenal wanawake yatwaa Uefa BAADA ya kumaliza msimu bila ya kushinda taji lolote kwa upande wa wanaume, mashabiki wa Arsenal huenda wakajifuta machozi baada ya timu yao ya wanawake kushinda taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya...
Bilbao yaikazia Madrid kwa Nico Williams KOCHA wa Athletic Bilbao, Ernesto Valverde ametuma ujumbe kwa Real Madrid, baada ya kusisitiza kuwa mabosi wa timu hiyo wanafanya kila linalowezekana ili staa wao Nico Williams abakie kwenye...