Bosi kubwa Man United afunguka MKURUGENZI Mtendaji Mkuu wa Manchester United, Omar Berrada amefunguka huku akisisitiza miamba hiyo ya Old Trafford itarejea kwenye kilele cha Ligi Kuu England kufikia 2028.
PRIME Aziz KI achekelea dabi, ataja bingwa Bara MWAMBA wa Burkina Faso, Stephanie Aziz KI tayari ameshaanza kukipiga katika chama lake jipya la Wydad Casablanca alikotua hivi karibuni akitokea Yanga, lakini huku nyuma kaacha kumbukumbu kibao...
Napoli yaendelea kukomaa na saini ya Jadon Sancho MANCHESTER United inafanya majadiliano ya ndani kuhusu ofa ambayo inaweza kuiandaa kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji wa Napoli na timu ya taifa ya Nigeria, Victor Osimhen, mwenye umri wa miaka 26.
Nunez atoke, aje Alvarez Anfield STAA wa zamani wa Liverpool, Mjerumani Dietmar Hamann amesema italeta maana kama miamba hiyo ya Anfield itaachana na Darwin Nunez ili kumchukua staa wa Atletico Madrid, Julian Alvarez.
He! Yamal amponza mrembo Hispania MREMBO mwenye ushawishi mkubwa mitandaoni, Fati Vazquez amefichua kutumiwa meseji za vitisho baada ya kuibuka uvumi kuwa kwenye uhusiano na kinda wa Barcelona, Lamine Yamal kufuatia picha...
Ushindi waipa Mamelodi zawadi ya bingwa wa CAF USHINDI wa bao 1-0 ilioupata Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini dhidi ya Ulsan HD ya Korea Kusini katika michuano ya Kombe la Dunia la Klabu 2025 inayofanyika Marekani, imeipa klabu hiyo Sh...
Uhondo wa ngumi na mambo kumi ya kuvutia KWA nini unashangaa sasa kuona kuna mchezo wa ngumi? Kwa nini watu wapigane wakati hawajakosana? Inakuwaje ngumi zinapigwa na watu kutoana damu, ngeu au hata kusababisha vifo? Umeshawahi...
Aziz Ki ana jambo lake na Man City leo MABEKI wa Manchester City watakabiliwa na shughuli pevu ya kumdhibiti Stephane Aziz Ki wa Wydad AC wakati miamba hiyo itakapokutana kwenye mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi ya fainali za Kombe...
Jamal Musiala akaaa pazuri kwa mabao STAA wa Bayern Munich, Jamal Musiala ameanza kwa kasi kubwa fainali za Kombe la Dunia la Klabu baada ya kuongoza vita ya ufungaji kufuatia kutikisa nyavu mara tatu katika michuano hiyo.
Man United yaondoa jezi za mawinga sokoni HABARI ndo hiyo. Manchester United imeziondoa sokoni jezi za mawinga wake Jadon Sancho na Antony sasa na kuziweka kando kwenye tovuti ya klabu hiyo.