Rashford atafuta nafasi Barcelona STAA, Marcus Rashford amesema anataka kwenda kujiunga na Barcelona ikiwa ni ujumbe wa kijanja anaotuma kwa Wahispaniola hao ‘njooni mnichukue’.
Messi uso kwa uso na PSG MABINGWA wakutandaza soka Ulaya, Paris Saint-Germain imeichapa Seattle Sounders 2-0 na kutinga hatua ya mtoano ya 16 bora kwenye Kombe la Dunia la Klabu, lakini wababe wengine wa Ulaya, Atletico...
Jeshi la Polisi latoa uhakika wa usalama Kariakoo Dabi Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam limewahakikishia usalama wananchi katika mechi ya Simba na Yanga inayotarajiwa kuchezwa kesho Jumatano Juni 25, 2025 huku ikiwaonya wenye lengo la...
Ishu ya Rudiger yafanyiwa kazi SHIRIKISHO la kimataifa la vyama vya soka (FIFA) limeanzisha uchunguzi juu ya madai ya beki wa Real Madrid, Antonio Rudiger kufanyiwa ubaguzi wa rangi kwenye mechi ya fainali za Kombe la Dunia la...
Bayern Munich macho kwa Martinelli BAYERN Munich imeonyesha dhamira ya dhati ya kunasa saini ya winga wa Arsenal, Gabriel Martinelli.
Alexander Isak hadi atake yeye! LIVERPOOL na Arsenal zitalazimika kumtaka straika Alexander Isak kufanya uamuzi mwenyewe kama anataka kuachana na Newcastle United kwenye dirisha hili la uhamisho wa majira ya kiangazi.
Pogba adaiwa kusaini masika mbili Monaco KIUNGO Paul Pogba anajiandaa kurejea kwenye soka, ikiripotiwa kukubali dili la miaka miwili kwenye klabu ya AS Monaco ya Ufaransa.
Aje Sesko, Gyokeres Arsenal ARSENAL inapambana kusaka kitu kinachokosekana kwenye kikosi chake, inasaka straika wa mabao ili kupiga hatua ya juu zaidi misimu mitatu iliyopita ambapo iliishia kumaliza kwenye nafasi ya pili...
Kikosi ghali kwenye Ligi Kuu England hiki hapa LONDON, ENGLAND: NDO hivyo, Ligi Kuu England sasa inakaribia kutengeneza kikosi cha kwanza chenye thamani ya Pauni 1 bilioni baada ya kiungo mshambuliaji Florian Wirtz kumpoka namba staa wa...
PRIME Kisa dabi, kikao kizito Yanga WABABE wa soka la Bongo, Simba na Yanga wanakutana kesho katika mechi ya Dabi ya Kariakoo ambayo imetawaliwa na mambo kibao na ambayo imekuwa ikitembea kwa muda mrefu na kaulimbiu moja kwa muda...