PRIME Waarabu waongeza mzigo kwa Mzize, dili lipo hivi UKIONDOA jina la kiungo Stephanie Aziz KI aliyeuzwa Morocco, staa atakayefuata sasa ni straika Clement Mzize aliyebakiza wiki moja tu kuuzwa moja ya nchi ya Afrika Kaskazini baada ofa mbili kubwa...
Mbappe avunja rekodi Real Madrid SUPASTAA, Kylian Mbappe hat-trick yake aliyoifunga kwenye El Clasico imemfanya avunje rekodi iliyokuwa imedumu kwa miaka 33.
Mstaafu Fury aachia video ikiacha utata TYSON Fury bado anaendelea kuweka mwili wake fiti huku mashabiki wa ngumi wakisubiri kwa hamu kurejea kwake ulingoni.
Mastaa wa Man United washona suti za ubingwa WEITA ongeza glasi. Ndivyo shangwe litakavyokuwa kwa mashabiki wa timu ambayo itakuwa imeshinda kati ya Manchester United na Tottenham Hotspur zitakazokutana kwenye fainali ya Europa League usiku...
Man United yarudi sokoni kusaka straika MANCHESTER United inapambana kwa nguvu zote kunasa straika mpya kwenye dirisha hili la uhamisho wa majira ya kiangazi.
Liverpool tatu za kibabe zinakuja! PENGINE ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu England, lakini hilo wala haliifanyi Liverpool kubweteka. Miamba hiyo ya Anfield imekuwa bize sana kwenye dirisha hili la uhamisho wa majira ya kiangazi...
Ile ya Mbeumo imekwisha bana! HATIMAYE, Manchester United imempata staa wake iliyemsaka kwa muda mrefu kwenye dirisha hili la majira ya kiangazi na sasa, Bryan Mbeumo atajiunga na wenzake kwa ajili ya ziara ya pre-season...
Huko Barca... Huku Rashford, kule Yamal BARCELONA imekamilisha dili la mkopo la kumnasa Marcus Rashford, ikimsaidia staa huyo wa England kichaka cha kwenda kujificha baada ya kupigwa chini huko Manchester United na kocha Ruben Amorim.
Miaka kumi ya pata potea Son, Spurs WAINGEREZA walikuwa wanaumia sana kuona Harry Kane akiwa anatimiza miaka 30, halafu katika kabati lake hana medali ya ubingwa unaoeleweka. Bosi wa Spurs, Daniel Levy alipindua kisogo kila wakati...
Isak afanya mazoezi peke yake akiisubiri Liverpool STRAIKA wa Newcastle, Alexander Isak ameonekana akifanya mazoezi peke yake katika klabu yake ya zamani, Real Sociedad, huku hatima yake ndani ya Newcastle United ikiwa bado haijulikani.