Fountain Gate yaizima Stand United kwao Fountain Gate imejiweka kwenye nafasi nzuri ya kubaki Ligi Kuu Bara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Stand United kwenye mchezo uliojaza mashabiki wengi. Fountain imefika hapa...
Dili la Mbeumo, Man United yapewa siku mbili BRENTFORD imetoa siku mbili kwa Manchester United na imekataa kushusha bei ya mshambuliaji wa kimataifa wa Cameroon, Bryan Mbeumo kufikia walau pauni 63 milioni ambazo Man United ipo tayari kutoa.
Tomiyasu achana mkataba Arsenal BEKI wa Arsenal, Takehiro Tomiyasu anaachana na klabu hiyo kwa makubaliano ya kusitisha mkataba wake.
Duh! Mastaa kumi waomba sub KOCHA wa Juventus, Igor Tudor amefichua kwamba wachezaji 10 walimwomba kutoka uwanjani katika mechi yao ya kipigo kutoka kwa Real Madrid kwenye kipute cha hatua ya 16 bora ya michuano ya Kombe la...
Kisa dili, Gyokeres aacha mchumba wake INAELEZWA straika wa Sporting Lisbon anayewindwa na Arsenal na Manchester United, Viktor Gyokeres ameachana na mpenzi wake raia wa Ureno, Ines Aguiar, hivi karibuni na sababu ikitajwa kuwa ni...
Ngoma imenoga Kombe la Dunia la Klabu MICHUANO ya Kombe la Dunia kwa klabu inayoendelea huko Marekani imefikia patamu ambapo sasa zimebakia timu nane zinazopambana kuanzia leo kutafuta tiketi ya kwenda nusu fainali kutoka robo fainali.
Man United haitanii dili la Ollie Watkins MANCHESTER United imeongeza juhudi zake katika kumsajili mshambuliaji wa Aston Villa na timu ya taifa ya England, Ollie Watkins katika dirisha hili.
Man City, Jack Grealish hakijaeleweka LICHA ya kutomjumuishwa katika kikosi kilichokwenda kucheza mashindano ya Kombe la Dunia kwa Klabu Marekani, staa wa Manchester City Jack Grealish hadi sasa bado hajapata timu.
Yanga yaanza na kiungo fundi wa boli MABINGWA wa Kihistoria Yanga, kwa sasa imeanza hesabu mpya za kukisuka kikosi kipya kwa ajili ya msimu ujao, kwa nia ya kuhakikisha inaendelea pale ilipoishia msimu huu ilipotwaa mataji matano...
Manchester United yataja bei ya kumuuza Sancho MANCHESTER United inataka Pauni 25 milioni kwa ajili ya kumuuza winga wake Jadon Sancho katika dirisha hili la majira ya kiangazi ambapo timu kadhaa zinadaiwa kuhitaji huduma yake.