Man United yarudi sokoni kusaka straika MANCHESTER United inapambana kwa nguvu zote kunasa straika mpya kwenye dirisha hili la uhamisho wa majira ya kiangazi.
Alexander Isak aachwa safari ya Singapore STRAIKA, Alexander Isak amepigwa chini kwenye kikosi cha Newcastle United kilichosafiri kwenda Singapore kwenye ziara yao ya mechi za pre-season.
Sikia hii ya Amorim Man United KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim ameongoza msafara akishuka wa kwanza kutoka kwenye basi la timu wakati walipofika kwenye hoteli moja huko Chicago, Marekani ambako wataweka kambi kwa...
Vigogo Real Madrid waweka mzigo kwa Rodri REAL Madrid iko tayari kutoa Pauni 100 milioni kwenda Manchester City kwa ajili ya kumsajili kiungo wa timu ya taifa ya Hispania, Rodri katika dirisha hili la majira ya kiangazi.
Jesus ashikilia jezi ya Gyokeres Arsenal Gyokeres, 27, anataka kujiunga na Arsenal kwenye dirisha hili la majira ya kiangazi na sasa dili hilo lipo kwenye hatua za mwisho kukamilika.
Kwa Folz... Yanga ipo kisasa zaidi Yanga juzi ilimtambulisha kocha mpya, Romain Folz kuchukua nafasi ya Miloud Hamdi aliyeondoka katika timu hiyo mara baada ya msimu kumalizika.
Chelsea yatua kwa Xavi Simons, Leipzig yakaza LICHA ya Chelsea kutaka kumsajili kiungo wa kimataifa wa Uholanzi, Xavi Simons, mabosi wa RB Leipzig wamemjumuisha staa huyo katika kikosi chao kitakachoingia kambini kwa ajili ya maandalizi ya...
Tabu iko palepale, Pacome aongeza miwili Yanga KLABU ya Yanga imethibitisha kumuongezea mkataba wa miaka miwili kiungo wake, Pacome Zouzoua baada ya ule wa awali kumalizika mwisho wa msimu uliopita 2024-2025.
Huko Barca... Huku Rashford, kule Yamal BARCELONA imekamilisha dili la mkopo la kumnasa Marcus Rashford, ikimsaidia staa huyo wa England kichaka cha kwenda kujificha baada ya kupigwa chini huko Manchester United na kocha Ruben Amorim.
Rashford aibua wasiwasi Barca SUPASTAA, Marcus Rashford huenda akashindwa kuichezea Barcelona hata baada ya kujiunga na miamba hiyo ya LaLiga.