Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Mtoko wa Simba, Yanga 2025-26 uko hivi

MTOKO Pict

Muktasari:

  • Katika mechi hizo 30, Yanga iliibuka na ushindi mara 27, ilitoka sare mara moja na kupoteza mbili, huku ikifunga mabao 83 na kufungwa 10, hivyo ilikuwa na chanya 73 ya tofauti ya mabao ya kufunga na kufungwa.

POINTI 82 ilizovuna katika mechi 30 ilizocheza kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2024/25 zilitosha kuwafanya Yanga kunyakua ubingwa wa nchi kwa msimu wa nne mfululizo.

Katika mechi hizo 30, Yanga iliibuka na ushindi mara 27, ilitoka sare mara moja na kupoteza mbili, huku ikifunga mabao 83 na kufungwa 10, hivyo ilikuwa na chanya 73 ya tofauti ya mabao ya kufunga na kufungwa.

Kwa msimu uliopita, Yanga ilibeba ubingwa kwa tofauti ya pointi nne dhidi ya mpinzani wake wa jadi, Simba ambayo yenyewe katika mechi 30, ilivuna pointi 78, ikishinda 25, sare tatu na vichapo viwili, huku ikifunga mabao 69 na kufungwa 13, ikiwa na chanya ya mabao 56 kwa maana ya tofauti ya mabao ya kufunga na kufungwa.

Ratiba ya msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2025/26 imewekwa hadharani na mabingwa watetezi Yanga wameshafahamu mtoko wao ulivyo katika mchakamchaka wa kutetea taji hilo.

Mtoko kamili ya Yanga msimu wa 2025/26

-Septemba 24 v  Pamba Jiji (nyumbani)

-Septemba 30 v Mbeya City (ugenini)

-Oktoba 29 v Mtibwa Sugar (nyumbani)

-Novemba 1 v Prisons (ugenini)

-Novemba 4 v KMC (nyumbani)

-Desemba 4 v Namungo (ugenini)

-Desemba 10 v Coastal Union (ugenini)

-Desemba 13 v Simba (nyumbani)

-Januari 30 v Azam (ugenini)

-Februari 3 v Tabora United (ugenini)

-Februari 7 v JKT Tanzania (nyumbani)

-Februari 11 v Mtibwa Sugar (ugenini)

-Februari 18 v Dodoma Jiji (nyumbani)

-Februari 23 v Singida BS (ugenini)

-Februari 26 v Mashujaa (nyumbani)

-Machi 1 v Fountain Gate (nyumbani)

-Machi 4 v Pamba Jiji (ugenini)

-Machi 12 v Mbeya City (nyumbani)

-Machi 15 v TZ Prisons (nyumbani)

-Machi 18 v KMC (ugenini)

-Aprili 4 v Simba (ugenini)

-Aprili 5 v Coastal Union (nyumbani)

-Aprili 12 v Dodoma Jiji (ugenini)

-Aprili 15 v Singida BS (nyumbani)

-Aprili 19 v Namungo (nyumbani)

-Mei 3 v Mashujaa (ugenini)

-Mei 6 v Fountain Gate (ugenini)

-Mei 14 v Azam (nyumbani)

-Mei 20 v v Tabora United (nyumbani)

-Mei 23 v JKT Tanzania (ugenini)


Mtoko wa Simba ulivyo

Sept 25, 2025

v Fountain Gate (nyumbani)


Okt 01, 2025

v Namungo (nyumbani)


Okt 30, 2025

v Tabora United  (ugenini)


Nov 02, 2025

v Azam FC (nyumbani)


Nov 05, 2025

v JKT Tanzania (ugenini)


Des 03, 2025

v Dodoma Jiji (ugenini)


Des 10, 2025

v TZ Prisons (ugenini)


Des 13, 2025

v Yanga (ugenini)


Jan 30, 2026

v Mtibwa Sugar (nyumbani)


Feb 03, 2026

v Singida BS (ugenini)


Feb 07, 2026

v KMC (ugenini)


Feb 11, 2026

v Tabora United (nyumbani)


Feb 19, 2026

v Mashujaa (nyumbani)


Feb 22, 2026

v Coastal Union (nyumbani)


Feb 25, 2026

v Pamba Jiji (ugenini)


Feb 28, 2026

v Mbeya City (nyumbani)


Mar 05, 2026

v Fountain Gate  (ugenini)


Mar 12, 2026

v Namungo (ugenini)


Mar 15, 2026

v Azam FC (nyumbani)


Mar 18, 2026

v JKT Tanzania (nyumbani)


Apr 04, 2026

v Yanga (nyumbani)


Apr 05, 2026

v TZ Prisons (nyumbani)


Apr 12, 2026

v Mashujaa (ugenini)


Apr 15, 2026

v Coastal Union  (ugenini)


Apr 19, 2026

v Dodoma Jiji(nyumbani)


Mei 03, 2026

v Pamba Jiji (nyumbani)


Mei 06, 2026

v Mbeya City (ugenini)


Mei 14, 2026

v Mtibwa Sugar (ugenini)


Mei 20, 2026

v Singida BS (nyumbani)


Mei 23, 2026

v KMC   (nyumbani)