Mademu wa wanasoka wasiotegemea hela za waume zao IMEZOELEKA kwa imani kwamba wake na wachumba wa mastaa wa soka duniani wamekuwa wakiponda raha na kula bata wanavyotaka wakitumia pesa za wenza wao.
Liverpool yaamua kuachana na Marc Guehi MABOSI wa Liverpool wamefikia makubaliano hawatowasilisha ofa yoyote ili kumsajili beki wa kati wa Crystal Palace, Marc Guehi, 25, dirisha dogo la usajili la Januari na badala yake watasubiri...
Cunha apandisha mzuka Man United MATHEUS Cunha ameipa matumaini makubwa Manchester United juu ya majeraha yake yanamsumbua wakati ligi ikiwa imesimama kupisha mechi za kimataifa.
Arsenal ina mechi saba bila Saliba KOCHA, Mikel Arteta kijasho kinamtoka jinsi namna atakavyokipanga kikosi chake cha Arsenal kutokana na kumkosa beki wa kati, William Saliba kwenye mechi saba muhimu.
Mashabiki wampa ujumbe mzito Arteta MASHABIKI wa Arsenal wanamtaka kocha wao Mikel Arteta kufanya mabadiliko ya kiufundi kwenye kikosi chake baada ya kiungo Mikel Merino kufunga hat-trick huko Hispania.
Sikia Jackson alichoifanyia Bayern Munich STAA wa Chelsea, Nicolas Jackson alifanya jitihada zisizo za kawaida kuhakikisha ndoto yake ya kujiunga na Bayern Munich inatimia.
Marcus Rashford mambo magumu Barcelona LICHA ya kutimiza ndoto yake ya kucheza Barcelona, lakini mpango uliopo wa mabosi wa miamba hiyo ya Ligi Kuu Hispania, La Liga, ni kumrudisha mshambuliaji Marcus Rashford England kutokana na...
Spurs kujipanga upya, yamwaga pesa WAMILIKI wa Tottenham kampuni ya ENIC, wako tayari kuwekeza Pauni 100 milioni katika klabu hiyo ikiwa ni siku kadhaa baada ya kuachana na mwenyekiti Daniel Levy.
Mmesikia!? Bruno yupo tayari kuondoka Manchester United KIUNGO mshambuliaji wa Manchester United, Bruno Fernandes, 30, ambaye amekataa ofa tatu kutoka kwa timu za Saudi Arabia zilizohitaji kumsajili kaitka dirisha lililopita la majira ya kiangazi...
William Saliba ashtua Arsenal ARSENAL imepata pigo lingine baada ya kugundua muda ambao beki wao William Saliba atakaa nje kutokana na jeraha lake la kifundo cha mguu.