Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8052 results for Mwandishi Wetu :

  1. Sikia! Al Nassr yaendelea kukomaa dili la Casemiro

    KLABU ya Al Nassr ya Saudi Arabia inataka kumsajili kiungo wa kati wa Manchester United, Casemiro, ambaye mkataba wake na Mashetani Wekundu unamalizika mwishoni mwa msimu huu.

    FUNUNU Pict
  2. Arsenal yafanya mabadiliko makubwa

    ARSENAL imetangaza mabadiliko makubwa ya uongozi wa klabu huku Tim Lewis, ambaye amekuwa katika klabu kwa muda mrefu, akiaga nafasi yake ya makamu mtendaji.

    ARSENAL Pict
  3. Jose Mourinho anaondoka muda wowote

    BAADA ya kusaini mkataba wa miaka miwili wa kuitumikia Benfica, taarifa za ndani zinaeleza kocha Jose Mourinho huenda akaondoka mwishoni mwa msimu huu kutokana na vipengele vilivyopo.

    MWAMBA Pict
  4. HERE WE GO… Mfahamu Fabrizo Romano

    "Here we go! Ni sentensi maarufu sana hususani kwa watu wanaofuatilia mpira wa miguu. Lakini huwa inaaminika sana ikiwa itatokea katika kinywa cha mtu mmoja tu, Fabrizo Romano.

    ROMANO Pict
  5. Carrick apigiwa debe Man United

    MANCHESTER United wameshaambiwa wafanye uamuzi wenye busara na kumchukua Michael Carrick ikiwa itaachana na Ruben Amorim.

    CARIC Pict
  6. Shughuli imeisha, mwamba karudi nyumbani

    Kocha mkongwe Jose Mourinho amerudi tena nyumbani, baada ya kutangazwa rasmi kuwa kocha mpya wa Benfica, klabu kubwa ya Ureno ambayo aliwahi kuinoa kwa muda mfupi mwaka 2000.

    MOURINHO Pict
  7. Slot awavaa wachambuzi

    KOCHA wa Liverpool, Arne Slot amelalamikia wachambuzi wanaozungumzia sana wachezaji wake wapya na gharama zilizotumika kuwasajili jambo ambalo haoni kama lina afya kwa ukuaji wao.

    SLOT Pict
  8. Henry: Gyokeres ana shida

    LEJENDI wa Arsenal, Thierry Henry ameonyesha kutokuridhishwa na namna straika wa timu hiyo, Viktor Gyokeres alivyocheza katika mechi dhidi ya Athletic Bilbao kutokana na kupoteza nafasi muhimu na...

    BACK Pict
  9. Simba, Yanga tembeeni na hasira caf mashabiki

    SIMBA na Yanga zimeshamalizana katika mchezo wa Ngao ya Jamii uliopigwa Jumanne, wiki hii ukithibitisha kwa mara nyingine ukubwa na heshima ya klabu hizo mbili kongwe Afrika.

    WAKONGWE Pict
  10. Chelsea yajitosa katika vita ya Marc Guehi

    CHELSEA imejiunga na timu nyingine za England na Hispania kwa ajili ya kuiwania saini ya beki wa kati wa Crystal Palace na timu ya taifa ya England, Marc Guehi, 25, ambaye mkataba wake na Crystal...

    FUNUNU Pict
Previous

Page 335 of 806

Next