Messi katika vita na rekodi ya Fontaine REKODI ya Just Fontaine ya kufunga mabao 13 katika Kombe la Dunia moja mwaka 1958 lililofanyika nchini Sweden ni ya kipekee. Lakini jambo la kushangaza zaidi ni kwamba hakufunga mabao hayo akiwa...
Lipston Mlagulwa: Niliota kucheza Taifa Stars... Leo siwezi hata kutembea SAA chache kabla ya maisha yake kubadilika, Lipston Mlagulwa alikuwa kama maelfu ya vijana wa Kitanzania waliokuwa na ndoto kubwa za kuvaa jezi ya Taifa Stars na baadaye kucheza soka la kulipwa...
Mikasa ya Edmundo 'The Animal' NI katika sherehe ya siku ya kwanza ya kuzaliwa ya mwanawe, mmoja wa wanasoka maarufu zaidi duniani aliyezua gumzo kwa kumpa bia na whisky sokwe aitwaye Pedrinho, aliyekuwa amevalishwa tracksuit.
CHRISTOS; Fundi anayepeleka mabao, mipira ya kufa Arsenal HUENDA Arsenal ilitwaa ubingwa wa Ligi Kuu England kwa mara ya kwanza baada ya miaka 20 msimu uliopita, lakini bado iliingia katika dirisha la usajili la majira ya kiangazi ikiwa na kazi kubwa ya...
USAJILI: Siri ya dili za Pauni 100 milioni MIAKA 34 iliyopita, usajili wa pauni milioni 13 ulimtikisa kila mtu nchini Italia.
Naomi Osaka: Staa wa tenisi asiyekuwa na shughuli ndogo kazini NAOMI Osaka aliendelea na mtindo wake wa kuvutia katika mashindano ya tenisi ya Wimbledon, baada ya nyota huyo wa Japan kuingia uwanjani akiwa amevalia vazi la kimono la kuvutia katika mchezo...
KISIWA CHA MAUTI - 13 “Ngoja nipige simu niulizie. Kama unaniletea utani nitakuweka ndani sasa hivi!”
Tunawezesha Taifa Meneja Sheria na Utawala, MCL LinkedIn: Josephat Kesagero Instagram: Josephat Kesagero UJUMBE SAHIHI, NJIA SAHIHI, MTEJA SAHIHI Mzee kipofu ameketi kwenye kona ya barabara yenye shughuli nyingi...
JIWE LA SIKU: Ule ubabe wa Yanga, Simba ndio huu sasa! nchi si suala dogo na kitu kingine nilichokiona kwenye jengo hilo kinakupa taswira ya jinsi klabu hizi zimekuwa na unyumbulifu kutoka kizazi hadi kingine. Ili kupambana na changamoto za wakati huo...
NIONAVYO: Afcon 2027 inagonga hodi, mlango uko wazi? jukumu la watu wa ufundi na ni jukumu linalohitaji muda kulifanikisha. Bahati mbaya muda hauko upande wetu. Mwandishi wa makala hii ni Katibu Mkuu mstaafu wa Shirikisho la Soka Tanzania...