Kajumulo amvaa Tenga TFF,Leodegar Tenga BAADA ya kupotea kwa muda mrefu, mdau wa soka Alex Kajumulo ameibuka kuwania nafasi ya Rais wa Shirikisho la
Taifa Stars kujiuliza kwa Harambee Stars TIMU ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' leo itakuwa na jukumu moja la kuhakikisha inapata ushindi kwenye mchezo wake wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Kenya kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini...
Bao la Henry BAO lililofungwa na kiungo wa kimataifa wa Tanzania anayechezea timu ya Kongsvinger, Henry Joseph huenda likapata tuzo ya bao bora la mzunguko wa 13 wa Ligi Kuu ya Norway kutokana na kuongoza kwa...
Lazima uyaone kwenye filamu za Nigeria LICHA ya kwamba filamu za Nigeria maarufu kwa jina la Nollywood ndizo zinazoongozwa kwa mauzo barani Afrika, bado kuna tofauti kubwa kati ya filamu hizo na zile za Marekani Hollywood.
Redds Miss Tabata kupatikana leo MALKIA la Redds Miss Tabata 2012 atapatikana leo wakati warembo 19 watakapopanda jukwaani kwenye ukumbi wa Da’ West Park, Tabata.
Heh! Matonya ameanza kufulia kweli SIRI imefichuka kwamba Matonya ameuza nyumba yake ya jijini Tanga, lakini amewaambia marafiki zake wa karibu kwamba amefanya hivyo ili mambo yaende sawa kimaisha na siku si nyingi ataibukia...
Facebook yamponza Flora Mbasha MTANDAO maarufu wa kijamii wa Facebook umemponza msanii mahiri wa muziki wa injili nchini Tanzania, Flora Mbasha, baada ya mtu asiyefahamika ambaye ni shabiki wake kugandisha picha chafu ya ngono...
Hall aishambulia Taifa Stars KOCHA wa timu ya Azam FC, Stewart Hall amelitaka Shirikisho la Soka Tanzania, TFF, kuachana na utaratibu wa kucheza kamari kwa kuajiri makocha kwa mikataba ya muda mfupi kisha wakatarajia kupata...
Usajili Yanga waitesa Simba YANGA inaitegea Simba na hilo huenda likaitesa klabu hiyo ya Msimbazi kipindi chote cha usajili mdogo.
Patachimbika hapa WAKATI pambano la Simba na Yanga likiwa linaanza leo Jumamosi, utakuwa tayari unajua matokeo ya mechi ya