YANGA : Ijitoe mhanga kuchangamsha ligi yetu SIKUTAKA kukurupuka kutoa maoni yangu kuhusiana na sakata la Azam TV mpaka nilivyofikiria kwanza
Mpira wa Simba, Yanga na uungwana wa fedha-3 Hata hivyo, Simba ilianza msimu kwa kushinda mechi mfululizo na kwa bahati nzuri mechi zake za kwanza zilikuwa Uwanja wa Taifa hivyo si tu ilikusanya pointi mapema lakini vilevile ilikusanya pesa...
Mpira wa Simba na Yanga na uungwana wa fedha-1 NI Jumatatu iliyojaa mikiki na harakati katika Kituo cha Mabasi Ubungo (UBS) jijini Dar es Salaam.
Azam yavunja rekodi ya Simba Afrika SAHAU kuhusu uwanja wa kisasa wa Chamanzi unaomilikiwa na Azam au straika wake Muivory Coast Kipre Tchetche anayeongoza....
Yanga yanunua kijanja mechi tatu kali Simba SARE ya bao 1-1 baina Yanga na Mgambo JKT Jumatano iliyopita imezidi kuiweka pabaya Azam kwani urafiki wa mashaka baina ya Simba na Yanga utaendelea mpaka Mei Mosi wakati ambao Mnyama atakuwa...
Mzungu wa Yanga ajiuzulu Yemen KOCHA wa zamani wa Yanga, Mbelgiji Tom Saintfiet amejiuzulu kuifundisha timu ya Taifa ya Yemen Jumamosi
Yanga, Simba zatangaziana vita ya siku 28 KWA siku 28 kuanzia leo Jumamosi; Yanga, Azam na Simba zitakuwa katika vita kubwa kwani katika siku hizo anaweza kufahamika bingwa pamoja na mshindi wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Yanga yamponza Kiiza Uganda KOCHA wa timu ya taifa ya Uganda, Bobby Williamson amesema hajamuita kikosini straika wa Yanga yenye ubutu
Dalali hajakanyaga Msimbazi miaka mitatu HASSAN Dalali, Mwenyekiti wa zamani wa Simba ametoa mpya baada ya kusema hajakanyaga makao makuu ya klabu
Fifa kumrejesha Malinzi TFF UJUMBE wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), unaweza kuwarejesha wagombea wa nafasi zote walioenguliwa na