96 Mil kuteketea bata la Yanga MAMBO ya fedha bwana! Klabu ya Yanga inatarajiwa kutumia kiasi cha Sh96 milioni kwa ajili ya sherehe zake za ubingwa wa Ligi Kuu Bara ilioutwaa hivi karibuni.
MIAKA 3 KIFO CHA KANUMBA: Wasanii wamepoteza ajira ILIKUWA Aprili 7, 2012 pale nyota iliyong’ara katika tasnia ya filamu ilipozimika ghafla.
Ni kweli kipele kimepata mkunaji, lakini si kila wakati BINAFSI ninawakumbuka watu wawili ambao walikuwa wasemaji wakuu wa sehemu mbili tofauti.
NINACHOKIAMINI: Uteuzi wa Kizuguto TFF ni kituko DUNIA huwa haiishi vituko na hayo ndiyo mambo ambayo tumekuwa tukiyaona kila siku na bado tutaendelea kuyaona miaka mingi ijayo.
Ni lini kanda ya Cecafa itacheza Afcon? KWA mara nyingine mataifa wanachama wa Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), tumebaki kuwa watazamaji wa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) zinazoendelea kule...
SCUD WA YANGA: Kiboko ya Simba sasa mfugaji wa kisasa-1 SIKU zinakwenda na maisha yanasonga mbele na historia inazidi kubadilika. Ni miaka zaidi ya 20 imepita sasa tangu mabomu aina ya Scud yawe gumzo duniani wakati wa Vita ya Ghuba, vita ambayo...
Udanganyifu wa umri KATIKA toleo la Ijumaa iliopita tuliona jinsi tatizo la udanganyifu wa umri linavyoanza baada ya uchunguzi tulioufanya kwa wachezaji Nurdin Bakar na Mrisho Ngassa ambao wote wamewahi kuzichezea...
Mwaka unakwisha, Stars haina msingi IMEBAKI miaka mitatu uongozi wa raisi wetu wa awamu ya pili ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) umalize muda wake.
Mabondia wa Tanzania wanavyopigwa makusudi Ulaya-1 NAKUTANA na kijana wa makamo pale Magomeni Kagera jijini Dar es Salaam. Uso wake unaonekana una bashasha huku akizirudisha nyuma rasta zake zilizotokeza nje ya kofia nyeusi aliyovaa.
Musonye: Yanga bure kabisa KATIBU Mkuu wa Cecafa, Nicholaus Musonye, amekerwa na kikosi alichokiita cha kipuuzi kilichopelekwa na Yanga kwenye michuano ya Kagame kabla hawajakipiga chini.