Yanga kuwakosa hawa dhidi ya JKT Tanzania Wachezaji hao muhimu wataukosa mchezo wa kesho Jumatano, utakaochezwa uwanja wa Jamhuri Jijini hapa.
JKT watamba kuendeleza ushindi kwa Yanga Timu hiyo inasaka ushindi kwenye kila mchezo ili kujinasua kwenye mstari wa kushuka daraja.
Yanga wao ni waamuzi tu dhidi ya JKT Kabla ya kuja Dodoma, Yanga imetokea kucheza mchezo dhidi ya Namungo wakitoka suluhu uwanja wa Majaliwa Ruangwa.
Teknolojia inapogeuzwa jukwaa la matusi Simba, Yanga Sakata la msemaji wa Simba, Haji Manara na mtangazaji wa Clouds FM, Shaffii Dauda ni jipya kati ya mizozo mingi ambayo huhusisha waandishi wa habari na watendaji wa klabu hizo na ambayo kwa kiasi...
Gekul aipongeza Simba Queens Dodoma. Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Pauline Gekul ameipongeza timu ya soka ya wanawake ya Simba Queens kwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake (Serengeti Lite Women...
TFF na Yanga wanavyoliana taimingi Jumamosi, Mei 8, Taifa liliingia katika taharuki baada ya kushindwa kufanyika kwa mchezo wa watani wa jadi, Simba na Yanga uliopangwa kuchezwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es...
Simba ni dhahama Mchezo wa kwanza ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba na Kaizer Chiefs umemalizika usiku huu Mei 15, 2021 kwa Simba kupoteza kwa mabao 4-0.
Simba, Kaizer Chiefs kitaeleweka Jumamosi hii Baada ya sekeseke la mechi ya watani wa jadi (Simba na Yanga) iliyokuwa ipigwe Jumamosi iliyopita kwenye dimba la Mkapa jijini Dar es Salaam kuwaacha wapenda soka vinywa wazi, utamu umehamia ligi...
Simba, Yanga yasogezwa tena mbele Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza kusogeza mbele muda wa kuchezwa mechi ya Simba dhidi ya Yanga kutoka saa 11:00 jioni hadi saa 1:00 usiku. Taarifa waliyoitoa mchana huu TFF imeeleza...
Kisinda, Saido watema cheche unaambiwa kuliko nilivyocheza mechi ya mbili zilizopita,” alisema. MSIKIE SAIDO Alichosema Saido kwa upande wake ni maneno mafupi tu kwamba wakati wakiwa katika maandalizi ya mwisho kila kitu kipo sawa na...