Hispania yalipa kisasi baada ya miaka 40, ikiitupa nje Ubelgiji TIMU ya taifa ya Hispania imefuzu hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia 2026, baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Ubelgiji.
Vita ya miaka 20 kurejea nusu fainali Kombe la Dunia 2026 BAADA ya kusubiri kwa miaka 20, moja ya ushindani mkubwa na wenye historia ndefu katika soka la kimataifa unarejea tena huku England ikipambana na Argentina katika Uwanja wa Atlanta kuwania...
Je, akili ya De La Fuente itamzima Messi na Argentina? HATIMAYE pazia la Kombe la Dunia 2026 linashushwa kwa pambano la aina yake, ambapo mabingwa wa Ulaya, Hispania, watakutana na mabingwa watetezi wa dunia na Amerika Kusini, Argentina, katika...
Fainali iliyobeba historia, ubabe, akili nyingi HATUA ya mwisho ya Kombe la Dunia 2026 imefika huku dunia ya soka ikisubiri kwa hamu fainali kubwa kati ya Hispania na Argentina kwenye Uwanja wa New York New Jersey, Marekani.
Rangi za nguo za wanaume weusi Jamani, kuna wanaume wanavaa nguo bila kujali rangi inawapendeza au la. Mwishowe nguo nzuri zinaonekana hazina mvuto kwa sababu tu rangi haikuwafaa.
Hispania kutegua mtego wa miaka 15? HISPANIA inapowania kutwaa taji lake la pili la Kombe la Dunia, kumbukumbu za safari yake ya kihistoria ya mwaka 2010 zinaendelea kubaki kwenye vitabu vya historia kama moja ya mafanikio makubwa...
Mastaa 15 watakaotikisa dirisha la usajili KOMBE la Dunia 2026 limehitimishwa, lakini sasa vita vinahamia kwenye dirisha la usajili, huku klabu zikianza kufuatilia kwa karibu nyota walioangaza nchini Marekani, Canada na Mexico.
Barcola aitingisha Paris Saint-Germain MABADILIKO makubwa yanaonekana kumsubiri winga wa Paris Saint-Germain, Bradley Barcola, baada ya taarifa kueleza kuwa amesitisha rasmi mazungumzo ya kuongeza mkataba mpya na mabingwa hao wa...
Gumbo, Makaga wabeba matumaini ya wana Yanga HUU ni mfululizo wa makala za wagombea kwenye uchaguzi Mkuu wa Yanga utakaofanyika Agosti 2, 2026, jijini Dar es Salaam.