Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

9049 results for Mwandishi :

  1. Takwimu zilivyo kabla ya robo fainali AFCON 2025 kupigwa

    MICHUANO ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 imeingia hatua ya robo fainali ya Kombe la Afrika 2025, ambapo kuanzia kesho Ijumaa zitaanza kupigwa mechi mbili na Jumamosi zitapigwa tena mbili.

    TAKWIMU Pict
  2. Man United, Bruno kukaa mezani

    MABOSI wa Manchester United wanatarajiwa kufanya kikao na nahodha wa timu hiyo, Bruno Fernandes, 31, ili kumweleza bado wanamhitaji aendelee kusalia Old Trafford kwa angalau msimu mmoja zaidi.

  3. Bruno aisubirisha Man United

    KIUNGO na nahodha wa Manchester United, Bruno Fernandes, 31, amepanga kusubiri hadi mwisho wa msimu huu kabla ya kufanya uamuzi juu ya mustakabali wake ikiwa ataendelea kuwepo katika kikosi hicho...

  4. Trent Alexander-Arnold aingia anga za Man City

    MANCHESTER City inaendelea kumfuatilia kwa karibu beki wa kulia wa Real Madrid na timu ya taifa ya England, Trent Alexander-Arnold, 27.

    FUNUNU Pict
  5. Chelsea kuvunja benki kwa Jude Bellingham

    CHELSEA inaripotiwa kupanga kutumia kiasi kikubwa cha hadi Euro 150 milioni kwa lengo la kumsajili kiungo wa Real Madrid na timu ya taifa ya England, Jude Bellingham, mwenye umri wa miaka 22.

    FUNUNU Pict
  6. Real Madrid yampigia hesabu Enzo Fernandez

    CHELSEA imeiambia Real Madrid ipo tayari kumuuza kiungo wao wa kimataifa wa Argentina, Enzo Fernandez mwenye umri wa miaka 25, dirisha lijalo la majira ya kiangazi.

    FUNUNU Pict
  7. Jean-Philippe Mateta akaribia kumalizana na Juventus

    JUVENTUS wameongeza kasi katika harakati za kumsajili mshambuliaji wa Crystal Palace na Ufaransa, Jean-Philippe Mateta, 28, baada ya kufanya mazungumzo rasmi na mawakala wake Ijumaa ya wiki...

    MATA 01
  8. Liverpool yapanga kumsajili Greenwood dirisha hili dogo

    LIVERPOOL inafikiria kuwasilisha ofa kwa ajili ya kumsajili aliyekuwa mshambuliaji wa Manchester United, Mason Greenwood, mwenye umri wa miaka 24.

    FUNUNU Pict
  9. Kila mbabe ana ubabe wake EPL

    LIGI Kuu England imefika patamu. Arsenal imeshindwa kutanua pengo la pointi kufikia nane kileleni kwenye msimamo wa ligi hiyo baada ya kubanwa nyumbani ikishindwa kufungana na Liverpool uwanjani...

    MBABE Pict
  10. Rice apiga mbili, Arsenal ikijikita kileleni

    LONDON, ENGLAND: DECLAN Rice alifunga mabao mawili katika mechi yake ya kwanza baada ya kupona jeraha, akiiongoza Arsenal kupata ushindi muhimu ugenini dhidi ya Bournemouth wakishinda 3-2. Beki...

    RICE Pict
Previous

Page 707 of 905

Next