Kila mbabe ana ubabe wake EPL
Muktasari:
- Na sasa, kikosi hicho kinachonolewa na Mhispaniola, Mikel Arteta kinaongoza kwa tofauti ya pointi sita dhidi ya Manchester City inayonolewa na Mhispaniola pia, Pep Guardiola na Aston Villa inayonolewa na Mhispaniola mwingine, Unai Emery.
LONDON, ENGLAND: LIGI Kuu England imefika patamu. Arsenal imeshindwa kutanua pengo la pointi kufikia nane kileleni kwenye msimamo wa ligi hiyo baada ya kubanwa nyumbani ikishindwa kufungana na Liverpool uwanjani Emirates usiku wa Alhamisi.
Na sasa, kikosi hicho kinachonolewa na Mhispaniola, Mikel Arteta kinaongoza kwa tofauti ya pointi sita dhidi ya Manchester City inayonolewa na Mhispaniola pia, Pep Guardiola na Aston Villa inayonolewa na Mhispaniola mwingine, Unai Emery.
Wakati ligi hiyo ikizidi kupamba moto kutokana na kuwa na vita nyingi, ile ya kusaka ubingwa, kuwania tiketi ya kucheza michuano ya Ulaya na mchakamchaka wa kujinusuru na ishu ya kushuka daraja, kasheshe lipo pia kwa mchezaji mmoja mmoja, ambao wanajaribu kuonyesha makali yao uwanjani.
Kutokana na hilo, hii hapa orodha ya mastaa watano wa juu wanaoongoza kwenye vipengele mbalimbali vya ubora katika Ligi Kuu England wa 2025/26.
Vinara wa mabao
Haaland (Man City) – 20
Igor Thiago (Brentford) – 16
Semenyo (Bournemouth) – 10
Calvert-Lewin (Leeds) – 9
Hugo Ekitike (Liverpool) – 8
Vinara wa asisti
Bruno Fernandes (Man Utd) – 8
Rayan Cherki (Man City) – 7
Jack Grealish (Everton) – 6
Mohammed Kudus (Spurs) – 5
Granit Xhaka (Sunderland) – 5
Vinara wa kadi za njano
Cristian Romero (Spurs) – 9
Lewis Dunk (Brighton) – 8
Lucas Paqueta (West Ham) – 7
Casemiro (Man Utd) – 7
Kyle Walker (Burnley) – 7
Vinara wa kucheza dakika nyingi
Anderson (Nottingham Forest) – 1,890
Neco Williams (Forest) – 1,890
Milenkovic (Forest) – 1,890
Tarkowski (Everton) – 1,890
Lacroix (Crystal Palace) – 1,890
Vinara wa kupiga mashuti
Haaland (Man City) – 83 (golini 41)
Cunha (Man Utd) – 58 (20)
Bowen (West Ham) – 53 (19)
Mateta (Crystal Palace) – 50 (23)
Semenyo (B’mouth) – 49 (27)
Vinara wa kukosa nafasi
Erling Haaland (Man City) – 20
Mateta (Crystal Palace) – 15
Ollie Watkins (Aston Villa) – 12
Igor Thiago (Brentford) – 10
Benjamin Sesko (Man Utd) – 8
Vinara wa kupiga pasi muhimu
Bruno Fernandes (Man Utd) – 56
Anton Stach (Leeds) – 40
Jeremy Doku (Man City) – 39
Phil Foden (Man City) – 39
Jack Grealish (Everton) – 38
Vinara wa kupiga pasi sahihi
Lewis Dunk (Brighton) – 1,484
Virgil van Dijk (Liverpool) – 1,442
Ruben Dias (Man City) – 1,308
Hecke (Brighton) – 1,268
Anderson (Forest) – 1,194
Vinara wa kupiga pasi za mbele
Anderson (Nottingham Forest) – 177
Bruno Guimaraes (Newcastle) – 161
Virgil van Dijk (Liverpool) – 160
Bruno Fernandes (Man Utd) – 145
Enzo Fernandez (Chelsea) – 144
Vinara wa kugusa mpira
Virgil van Dijk (Liverpool) – 1,838
Anderson (Forest) – 1,807
Lewis Dunk (Brighton) – 1,792
Joachim Andersen (Fulham) – 1,734
Hecke (Brighton) – 1,685
Vinara wa kugusa mpira boksi la wapinzani
Erling Haaland (Man City) – 127
Yankuba Minteh (Brighton) – 105
Bukayo Saka (Arsenal) – 98
Jeremy Doku (Man City) – 98
Jack Grealish (Everton) – 94
Vinara wa kuzuia mipira
Moises Caicedo (Chelsea) – 37
Marcos Senesi (Bournemouth) – 32
Nordi Mukiele (Sunderland) – 28
Chris Richards (Crystal Palace) – 27
Kyle Walker (Burnley) – 27
Vinara wa kuokoa mipira
Lacroix (Crystal Palace) – 158
Virgil van Dijk (Liverpool) – 157
Marcos Senesi (Bournemouth) – 157
Joachim Andersen (Fulham) – 156
James Tarkowski (Everton) – 154
Vinara wa kuchezewa rafu
Jack Grealish (Everton) – 52
Anderson (Nottingham Forest) – 48
Bruno Guimaraes (Newcastle) – 45
Williams (Nottingham Forest) – 39
Patrick Dorgu (Man Utd) – 38
Vinara wa kucheza rafu
Joao Gomes (Wolves) – 41
Antoine Semenyo (Bournemouth) – 38
Sasa Lukic (Fulham) – 37
Thiago (Brentford) – 36
Anderson (Nottingham Forest) – 32
Vinara wa kuotea
Evanilson (Bournemouth) – 18
Thiago (Brentford) – 14
Raul Jimenez (Fulham) – 14
Dominic Calvert-Lewin (Everton) – 14
Jean-Philippe Mateta (Crystal Palace) – 13
Vinara wa kurudisha mpira kwenye umiliki
Elliot Anderson (Nottingham Forest) – 177
Joao Gomes (Wolves) – 112
Yehor Yarmoliuk (Brentford) – 110
Andre (Wolves) – 106
Tyrick Mitchell (Crystal Palace) – 106
Vinara wa kucheza mipira ya juu
Virgil van Dijk (Liverpool) – 104 (amepoteza 31)
James Tarkowski (Everton) – 90 (39)
Ibrahima Konate (Liverpool) – 78 (29)
Sepp van den Berg (Brentford) – 71 (36)
Michael Keane (Everton) – 70 (42)
Vinara wa clean sheets
David Raya (Arsenal) – 9
Robert Sanchez (Chelsea) – 8
Donnarumma (Man City) – 8
Jordan Pickford (Everton) – 8
Dean Henderson (Crystal Palace) – 8
Vinara wenye sevu nyingi
Martin Dubravka (Burnley) – 75
Robin Roefs (Sunderland) – 71
Alphonse Areola (West Ham) – 63
Bart Verbruggen (Brighton) – 59
Djordje Petrovic (Bournemouth) – 57
Vinara walioruhusu mabao machache
David Raya (Arsenal) – 14
Donnarumma (Man City) – 15
Emi Martinez (Aston Villa) – 16
Nick Pope (Newcastle) – 17
Alisson (Liverpool) – 18