TP Mazembe ni ngazi ya kwenda Ulaya CHUMBA namba 309, hoteli ya kifahari ya Malawi Sun, Kusini mwa Jiji la Blantyre, nchini Malawi, mwili wa kiume uliojaa vyema umejilaza kitandani. Mwili uliojengeka kisoka. Si mwili wa Didier Drogba.
NJIA NYEUPE : Simba iamue kumpa MO timu, la imshawishi kuidhamini YANGA ya Dar es Salaam licha ya kufanya vizuri kwenye michuano mbalimbali inayoshiriki msimu huu, lakini imeamua kumkabidhi timu yao mfanyabiashara maarufu nchini, Yussuf Manji.
Leicester ingekuwa Ligi Kuu ya Tanzania tungeoga kauli chafu UMEWAHI kuifikiria dunia ambayo wanaishi wachezaji wa Leicester City kwa sasa? Ni dunia tofauti. Dunia iliyojaa raha. Wachezaji wa Leicester City wana raha zote duniani. Kina Riyad Mahrez, Ngolo...
NJIA NYEUPE : Baada ya uchaguzi, Yanga wajipange kuepuka utegemezi KLABU ya Yanga ya Dar es Salaam juzi Jumamosi ilifanya uchaguzi mkuu kuwapata viongozi wake watakaoiongoza kwa miaka minne.
NJIA NYEUPE : Tunasubiri kwa hamu ‘dabi’ ya watani wa jadi IMEBAKI wiki moja na ushee kabla ya pambano la watani wa jadi katika soka nchini, Simba na Yanga za Dar es Salaam zionyeshane ubavu.
NJIA NYEUPE : Tanzania imeamua kujinyima fursa ya kuibua vipaji TANZANIA bado ina safari ndefu ya kupata mafanikio ya kufanya vizuri katika michezo kimataifa kutokana na hatua ambazo zinachukuliwa na Serikali ya Awamu ya Tano.
NJIA NYEUPE : Kwa hawa Mazembe, Simba wagange yajayo “KATIKA makala yako ya Mwanaspoti ya Juni 23, mwaka huu isemayo: “ Jangwani giza halafu mwanga tena”. Nimeguswa na kipengele cha uzalendo usiwashinde. Hivi katika klabu ya Simba ni nani awezaye...
Wanapiga pesa wakiwa kaburini KUNA baadhi ya mambo ni vigumu kuyaeleza lakini hutokea. Kwa mfano unawezaje kuelezea ni vipi mfu anaweza kupiga pesa za uhakika wakati nafasi yake ikiwa imetangulia mbele za haki. Lakini kumbe...
BERLIN YATEKWA: Jiji zima njano, nyekundu zatawala Ni mazoezi ya mwisho ya msimu jijini Berlin kwenye Uwanja wa Olympic na wakati David Alaba akiruka kuwania mpira wa juu akagongana na Ribery na kuumia tumboni. Kwa hiyo Alaba hakuwa na nafasi ya...
Simba hakuna kuremba JESHI la Kocha Patrick Aussems limepaa jana jioni kwenda nchini Algeria kwa ajili ya kusaka ushindi ambao, unaweza kuipeleka Simba kwenye hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika.