AC Milan yaangukia kwa Hojlund, mchongo mzima upo hivi AC Milan imeonyesha nia kubwa ya kumsajili mshambuliaji wa Manchester United na timu ya taifa ya Denmark, Rasmus Hojlund kwa mkopo wa msimu mmoja ambao utakuwa na kipengele cha kumnunua moja kwa...
VIDEO: Maajabu! Uwanja mpya Man United kuingiza watu 100,000 HII ni kufuru. Manchester United itajenga uwanja mpya wenye uwezo wa kuingiza mashabiki 100,000 wanaoketi, imeelezwa.
PRIME Yanga kumekucha CAS, Bodi ya Ligi yakomaa SAKATA la kuahirishwa mechi ya Kariakoo Dabi, Yanga dhidi ya Simba limechukua sura mpya na tafsiri nyepesi ni kama mambo ya yamekucha rasmi kwani awali ilionekana kama masihara.
Kwani Spurs inafeli wapi kuchukua makombe NOMA sana. Miaka 17 imepita sasa tangu Tottenham Hotspur mara ya mwisho ilipoonja utamu wa kushinda ubingwa, iliponyakua Kombe la Ligi (Carabao).
ALAA KUMBE! Kilichopo nyuma ya miwani ya vioo vyekundu wanayovaa mastaa England HABARI ya mjini kwa sasa kwenye Ligi Kuu England ni mastaa wake kuvaa miwani yenye vioo vya rangi nyekundu.
Klabu Bingwa Dunia… Nani anafuata? HISTORIA na rekodi zinaonyesha Real Madrid inaongoza katika msimamo wa timu ambazo zimefanikiwa kushinda taji la Klabu Bingwa Dunia mara nyingi zaidi kuliko timu yoyote.
Sikia masikitiko ya mwanasoka Owen Hargreaves KWA wazazi wengi duniani, kama kuna kitu kinachowapa furaha ni kuona watoto wao wanafikia ndoto za juu kabisa za mafanikio kwa kile kitu wanachojishughulisha nacho.
Hizi hapa mechi zilizozalisha mabao mengi Kombe la dunia la klabu KATIKA historia ya michuano ya Kombe la Dunia la Klabu, mabao yamekuwa si tu njia ya ushindi bali pia burudani halisi kwa mashabiki duniani kote.
Dili tano za kusubiri hizi hapa DIRISHA la usajili wa wachezaji la majira ya kiangazi limeshafunguliwa tangu Juni Mosi na sasa klabu zipo bize kwelikweli kusaka wachezaji mwafaka wa kuboresha vikosi vyao kwa ajili ya msimu wa...
TFF yajibu tuhuma, yaithibitisha kuidai Yanga Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepinga madai kuwa linadaiwa na Yanga, fedha za zawadi ya ubingwa ya mashindano ya Kombe la Shieikisho la CRDB msimu uliopita na badala yake limesema...