PRIME Huko Yanga bado mmoja tu! YANGA imeshaanza maandalizi ya msimu mpya wa mashindano kwa mwaka 2025-26 na jana Jumapili mazoezi ya timu hiyo yalisitishwa kidogo kisha kufanyika kikao kizito kati ya mabosi wa klabu hiyo na...
Aston Villa yaikomalia Man United kwa Martinez MABOSI wa Aston Villa wamekataa ombi la Manchester United inayohitaji kuipata huduma ya kipa wake wa kimataifa wa Argentina, Emiliano Martinez, kwa mkopo wa msimu mmoja.
Donnarumma mbioni kusepa, PSG yasaka mtu INAELEZWA Manchester United na Manchester City zote zinavutiwa na kipa wa Paris St-Germain na timu ya taifa ya Italia, Gianluigi Donnarumma, mwenye umri wa miaka 26.
Baada ya straika Gyokeres, Eberechi anafuata Arsenal BAADA ya kumpata straika wa Viktor Gyokeres, mabosi wa Arsenal sasa rasmi wamehamishia nguvu zao kwenye dili la mshambuliaji wa Crystal Palace, Eberechi Eze katika dirisha hili.
Real Madrid, Konate ngoma bado mbichi, awekewa mzigo mezani LIVERPOOL imempa ofa nono ya mkataba mpya beki wao kisiki raia wa Ufaransa, Ibrahima Konate, 26, ili kuzuia mpango wa Real Madrid inayohitaji sana saini yake.
Kisa Luis Diaz, Liverpool yakomaa na Rodrygo WINGA wa Real Madrid na timu ya taifa ya Brazil, Rodrygo mwenye umri wa miaka 24, ni mmoja wa wachezaji ambao bado wanapigiwa hesabu na Liverpool kwa ajili ya kusajiliwa katika dirisha hili.
Vigogo EPL wamiminika kuwania saini Garnacho BAADA ya Chelsea kutajwa hivi karibuni, Tottenham Hotspur na Aston Villa pia zimeingia katika vita ya kuwania saini ya winga wa Manchester United na timu ya taifa ya Argentina, Alejandro...
Newcastle yakubali yaishe, yamgeukia Nicolas Jackson MABOSI wa Newcastle United imepanga kumgeukia mshambuliaji wa Chelsea na timu ya taifa ya Senegal, Nicolas Jackson, mwenye umri wa miaka 24, baada ya kuona Manchester United ina nafasi kubwa...
Tatu za EPL vitani kuwania saini ya Raheem Sterling TOVUTI ya TalkSport imefichua kuwa mshambuliaji wa Chelsea na timu ya taifa ya England, Raheem Sterling, anawindwa na klabu tatu za Ligi Kuu England ambazo ni Fulham, Crystal Palace na West Ham...
AC Milan yaangukia kwa Hojlund, mchongo mzima upo hivi AC Milan imeonyesha nia kubwa ya kumsajili mshambuliaji wa Manchester United na timu ya taifa ya Denmark, Rasmus Hojlund kwa mkopo wa msimu mmoja ambao utakuwa na kipengele cha kumnunua moja kwa...