Kocha wa Yanga aitabiria taji Morocco AFCON 2025 KOCHA mkuu wa zamani wa Yanga, Luc Eymael, amewatabiria wenyeji Morocco nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 michuano inayoanza rasmi kesho Jumapili nchini humo.
Hizi hapa mechi kumi kali za AFCON tangu 1957 FAINALI za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 zinaanza Morocco kesho Jumapili zikiandika ukurasa mwingine katika historia ya mashindano haya yaliyoanza rasmi mwaka 1957 yakijikita mizizi...
Bayern yaweka mkono kwa Bruno Fernandes BAYERN Munich ipo tayari kuwasilisha ofa ya takribani Euro 50 milioni kwenda Manchester United ili kumsajili kiungo na nahodha wa klabu hiyo, Bruno Fernandes, 31.
Isak atafutiwa mbadala, Semenyo atajwa LIVERPOOL inaweza kubadili mwelekeo wa usajili iwapo jeraha la mshambuliaji wao wa kimataifa wa Sweden, Alexander Isak, 26, yataonekana kuwa makubwa na kumweka nje kwa muda mrefu.
Eduardo Camavinga aingia anga za Liverpool LIVERPOOL imeweka mezani ofa inayokadiriwa kufikia Pauni 60 milioni kwa ajili ya kumsajili kiungo wa Real Madrid, Eduardo Camavinga, 23.
Kizunguzungu cha mechi ya kwanza AFCON MECHI za ufunguzi kwenye AFCON mara zote zinakuwa tamu kwa wenyeji. Je, Morocco itaendeleza utamaduni?
Madrid yaanza kujipanga kwa Ruben Neves REAL Madrid ni miongoni mwa klabu zinazotajwa kufikiria kutaka kumsajili kiungo wa Al-Hilal na timu ya taifa ya Ureno, Ruben Neves, mwenye umri wa miaka 28.
Achraf Hakimi akoleza mzuka Morocco ikisaka taji NYOTA wa timu ya taifa ya Morocco, anayekipiga Paris Saint-Germain (PSG), Achraf Hakimi amewatia hamasa wachezaji wenzake kwa kuwataka kupambana ili kumaliza ukame wa kubeba ubingwa wa Kombe la...
Msuva, Samatta wainogesha Stars kambini KAMBI ya timu ya taifa, Taifa Stars iliyopo Misri imeizidi kunoga baada ya kuwasili kwa mastaa wakubwa wa timu hiyo inayojiandaa kwa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2025 inayoanza...
Semenyo aichagua Liverpool, vigogo wengine bado wanamtaka LIVERPOOL inatajwa kuwa ndio timu iliyochaguliwa na mshambuliaji wa Bournemouth na timu ya taifa ya Ghana, Antoine Semenyo licha ya klabu nyingine za Ligi Kuu England zikiwemo Tottenham, Arsenal...