Dora: Niliteseka na ‘Sickle Cell’ leo wananishangaa MSANII nyota wa filamu anayetamba katika tamthilia ya Jua Kali, Wanswekula Zacharia ‘Dora’ amesema hana muda na wanaomshangaa kutokana na mwonekano wake kwani hawajui alipotoka na mapito aliyopitia.
Real Madrid yatenga mzigo wa maana kwa Rice, Barcola REAL Madrid inaripotiwa kuwa tayari kutumia hadi Euro 250 milioni ili kumsajili kiungo wa kati wa Arsenal na timu ya taifa ya England, Declan Rice, 26, pamoja na winga wa Paris Saint-Germain...
Mikel Arteta ana kazi kubwa ya kufanya Arsenal KWA mara ya kwanza baada ya wiki kadhaa, Mikel Arteta ataketi kitako kuchambua mechi ya Arsenal ambayo imeshindwa kupata ushindi.
Liverpool yabaniwa kwa Semenyo, lakini haijaisha MPANGO wa Liverpool kutaka kimsajili mshambuliaji wa Bournemouth na timu ya taifa ya Ghana Antoine Semenyo, unakaribia kufa baada ya klabu yake kuendelea kushikilia msimamo wa kutohitaji kumuuza...
Klabu UIaya zamiminika kumgombania Ivan Toney KLABU kadhaa za Ligi Kuu England ambazo ni pamoja na Tottenham Hotspur na Aston Villa zinaonyesha nia ya kumsajili straika wa kimataifa wa England Ivan Toney anayeichezea Al-Ahli ya Saudi Arabia.
Barca bado yamtaka Kane akamrithi Lewandowski BARCELONA inamwangalia straika wa Bayern Munich na timu ya taifa ya England, Harry Kane, 32, kama mbadala wa mshambuliaji wao wa kimataifa wa Poland, Robert Lewandowski, 37, ambaye ataondoka...
Chelsea yaandaa mkwanja wa maana ili kumnasa Alvarez CHELSEA inajiandaa kuwasilisha ofa ya takriban Euro 150 milioni kwa ajili ya kumsajili straika wa Atletico Madrid na timu ya taifa ya Argentina, Julian Alvarez, katika dirisha lijalo la majira ya...
Hawa wakitajwa, yametajwa mabao 2025 RAHA ya mechi, mabao. Hicho ndicho kinachofanya mashabiki wengi kwenda kwenye viwanja vya soka, kutazama ufundi wa kutikisa nyavu, jinsi makipa wanavyoteswa na kufanywa kuwa bize kuokota mipira...
Mmesikia? PSG inasubiri kumbeba bure Vinicius Jr MABINGWA wa soka wa Ufaransa na Ligi ya Mabingwa Ulaya, Paris St-Germain wameripotiwa kutengeneza mchakato madhubuti kabisa wa kuhakikisha wananasa saini ya supastaa wa Kibrazili, Vinicius Jr...
Vichaka anavyoweza kuibukia Neymar Januari SUPASTAA wa boli, Neymar atakuwa mchezaji huru kwenye dirisha la Januari, hivyo ataondoka Santos huku jambo hilo likivutia timu nyingi zinazosaka mchezaji huyo mnyumbulifu uwanjani.